kwa juu
ubavuni
Font size Nyumba hii ipo
TEGETA KILIMAHEWA JIJINI DAR KILOMETA 2. KUTOKA TEGETA STENDI
ina vyumba 3 na master bedroom 1.
Sitting room, dinning room na kitchen vyote vya kisasa.
Vyoo na bafu za kisasa na heater.
maji ya bomba na reserve tanks.
Mpangaji hasa tuwasiliane kwa namba hii
+255 715 088 610
dalali hatakiwi
Mdau

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. Jamani, Jamani jamani hii nyumba si mliitangaza hapa hapa globu ya jamii kuwa inauzwa? Sasa aliyenunua anapangishaa? au imekuwa vipi?

    ReplyDelete
  2. Mdau wa Mon Mar 22, 11:23:00 PM

    Una kumbukumbu kama zangu Jamaa alikuwa anauza $150,000 au Tzs 200Millions. Naona jamaa kakosa mnunuzi kaamua kupangisha. na safari hii kawa mjanja kweli hata bei hakutaja. Maana kama angekuwa ameuza basi mnunuzi angepiga picha zake mpya na kutuwekea siyo zilezile katika angle zilezile.

    http://issamichuzi.blogspot.com/2009/12/nyumba-inauzwa-tegeta-kilimahewa.html

    ReplyDelete
  3. ni kweli ilikuwa inauzwa hata mie nimewahi iona,km nakumbuka vizuri kwenye blog ya Jide,Naona muuzaji kakosa mnunuzi,may be bei chafu.Ila sasa hataaminika,mara kuuza, mara kupangisha, lazima kuna walakini hapo,so walio na interest na hiyo nyumba wawe makini.Ni maoni tuu

    ReplyDelete
  4. Hii nyumba imeuzwa weeeeee!!mwisho wa siku sasa inapangishwa wacha inadiwe kwamba inapangishwa weeeeeeee!!!!mwisho wa siku sasa tutaambia hii nyumba inatafuta watu wanaotaka kukaa bureeeeeeee!!!

    ReplyDelete
  5. jamani hata mie niliiona hiyo nyumba tena kwa picha hizo hizo mh au nyumba ina gunduuuu?manake ilikuwa inauzwa gafla inapangishwa mh lazima ni kati ya zile nyumba zinazokuwaga na mashetani sio bure ,wadau muwe makini hizi ndo zile nyumba mnalala vizuri asubuhi mnajikuta mmelala nje,ni maoni tu wadau.

    ReplyDelete
  6. - Huenda alienunua ndio anapangisha...
    - Hata hivyo hakuna kosa hapo mtu unaweza kubadili mawazo hasa pale unapoona umetumia gharama kubwa katika ujenzi lakini bei wanazotaka kununua watu ni ndogo na utapata hasara unaona bora usiuze. Hio nyumba inavyoonekana ni kubwa na kama ndani imekamilishwa kila kitu bei yake ya mauzo kwakweli itakuwa ni kubwa

    ReplyDelete
  7. Hii nyumba sio bure lazma ina majini au dhulumat imetendeka hapo, mbona mnahangaika nayo sana???! jasho la mtu jamani ---

    ReplyDelete
  8. Kama alienunua ameamua kuipangisha shida iko wapi? Wenye nia ya kweli kupanga wajitokeze. Inapendeza!

    ReplyDelete
  9. Heater Dar!!! Ya kazi gani? Labda ungesema central AC

    ReplyDelete
  10. yes heater in dar, labda ya kunyonyolea kuku manyoya! ndo faida ya kuiga iga bila akili. mara nyingi huwa ni hela za kifisadi, hazina uchungu

    ReplyDelete
  11. kodi shs ngapi? i'm interested

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...