wafanyakazi wa kiota maarufu cha FIFA CLUB kilichopo Kijitonyama jijini Dar leo wakiweka mambo sawa baada ya tenti lao kupata kwikwi ya kuporomoka na kusababisha dhahama kiasi jioni hii. Bahati njema hakuna aliyeumia swala magari yaliyoegeshwa chini yake kupata madhara. Ikaamuliwa tenti lifunguliwe na kujengwa upya ili kuepusha kwikwi ya aina hiyo baadaye
tenti la FIFA CLUB likiwa limekaa adijojo leo baada ya kuporomoka


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. ila ankal mjinga wewe?!hahahaaa
    hujatulia kabisaaaa

    hahahaaa

    ReplyDelete
  2. sio adijojo ni alijojo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...