
Mambo haya na mengine mengi kuhusu utalii na hifadhi zetu nenda:
http://tembeatz.blogspot.com/
http://tembeatz.blogspot.com/
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Naomba kusahihisha: Udzungwa Mountains National Park ipo mkoa wa Iringa na si Morogoro lakini access yake nzuri na inayojulikana sana ipo Morogoro kama mdau alivyoelekeza hapo.
ReplyDeleteMilima ya Udzungwa ina viumbehai aina nyingi ambavyo havipatikani katika maeneo mengine duniani.
ReplyDeleteMfano kuna aina ya ndege (Partridge), aina ya kima (Kipunji) na vyura wanaozaa wa Kihansi.
Watanzania tuuthamini na kutambua urithi wetu. Tusisubiri mpaka wazungu waje kutembelea watwambie vitu hivyo. Tujitahidi tutembelee maeneo hayo.