Washindi wa promosheni ya Shangwe za Tigo Kombe la Dunia Mark Makundi (kushoto na Stuart Momani wakionyesha zwadi zao za LCD TV mara baada ya kukabidhiwa katika ofisi za Tigo, Dar es Salaam jana.
Ofisa Uhusiano wa Tigo, Jackson Mmbando akikabidhi zawadi ya LCD TV kwa mmoja wa washindi wa promosheni ya Shangwe za Tigo Kombe la Dunia, Stuart Momani jijini Dar

Ofisa Uhusiano wa Tigo, Jackson Mmbando akikabidhi zawadi ya LCD TV kwa mmoja wa washindi wa promosheni ya Shangwe za Tigo Kombe la Dunia, Mark Elias Makundi jijini Dar

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. MBONA WASHINDI WOTE VICHWA VYAO VINAFANANA NA OFISA UHUSIANO??? KULIKONI MICHU!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...