hii ni sehemu ya nyumba chache zilizosalia za kienyeji maarufu kama 'mbavu za mbwa' zinazotokomea kwa kasi eneo la kariakoo jijini dar ambako sasa kunakuwa msitu wa zege. raha yake ni kwamba miundo mbinu haiendani na ukuaji wa haraka wa maeneo hayo, kwani huduma za maji, mitaro na hata maegesho ya magari ni yale yale. Tusiombee moto mkubwa uzuke hapo...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. http://www.youtube.com/watch?v=lOe-3txmBvg&feature=related

    wabeba box burudikeni na kibao hicho cha 20% money money. kwani kinawahusu sana.

    ReplyDelete
  2. Wasiwasi wangu ni jinsi CITY CENTRE YA DAR inavyobadilika bila mpango: (1) Mabomba ya maji taka (sewage system ni ile ile ya 1957); (2) Majumba ya zaidi ya ghorofa 18 yanajengwa wakati idara ya zima moto Dar haina uwezo wa kuzima moto na kuokoa watu zaidi ya ghorofa sita; (3) Parking ya magari hamna; (4) Majumba ya kihistoria na hazina za usanifu majengo inavunjwa bila Idara ya Utamaduni kuulizwa maoni yake. It's worse than Kariakoo lakini it seems that everybody is turning a blind eye to it!!!!!!!!!!! Darlite.

    ReplyDelete
  3. HIYO KARIAKOO YA MBAVU ZA MBWA NDO NILIYOIKUTA MIAKA YA 70 WAKATI NATOKA NTWARA ILIKUWA NZURI NA YA UTULIVU SANA, WAKATI HUWA SINZA NI PORINI TU, SASA NI UCHAFU MTINDO MMOJA. ENZI HIZO UNAOGOPA KUPITA MITAA YA OCEAN ROAD KULIKUWA KIMYA KAMA KUZIMU HIVI UKIPITA NYWELE ZINAKUSIMAMA.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...