Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 24, 2010

    Ha ha ha ha haaaaaa..

    Safety Health and Environmental (SHE) Policies ??

    Economic empowerment indeed..

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 24, 2010

    Kweli kabisa. Wakenya ni mabingwa wa kuchota mafuta kwenye maeneo ya ajali bila kujali kama mafuta hayo yanaweza kutumiwa na binadamu au la.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 25, 2010

    mzee hiyo umechemsha,,hakuna mtu ambaye angeangaika na hiyo crude oil,,maana huwezi kutumia mpaka usafishe kiwandani...

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 25, 2010

    Anon May 25, 12:16,

    Unacheza na Wabongo nini? (kwa mantiki hii hao wa Kenya). Watu watayatumia hata kukaangia chips ati (wale wauzaji chips vumbi wale)! Hujui kuna hadi wanaotumia mafuta ya transformer kukaangia chips? Vinginevyo watayapeleka kwenye soko haramu (Black Market). Lol.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 25, 2010

    swali:
    GADO ni m-bongo au mkenya?

    simuelewi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...