











Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hebu niulize..hapo umesema huyo mume wa mtu alikua anapokea kwa niaba ya mke wake. Nilizania mkewew hakuwapo? Mbona namwona anapiga picha na mumewew siku hiyo hiyo...Nilizania ukiwa haupo ndio mtu mwingine anapoke akwa niaba yako lakini upo hapa kwenye sherehe halafu usipokee ni kama umeidharau hiyo zawadi...
ReplyDeleteHuyo MwanaFA si aliwaandikia barua kuwa hataki kujihusisha na Kili Music Award. Sasa anafanya nini tena humo?
ReplyDeleteaaah nimefurahi saaaana mjomba mpoto kupata tuzo kweli ulikuwa unastahili kubebaaaa hongera mjombaaaaa nikipata nauli nitakuja kukupa hongera zako mjomba
ReplyDeletemdau canada
Hivi Raggae na Ragga ni tofauti??maana mmenipoteza hapo.
ReplyDeleteMimi nadhani Jay Dee alimdharau huyo mpoki kutoa hiyo tuzo.Labda alitaka Sean Kingston ndiyo ampatie hiyo tuzo.Ushamba tu na majivuno ndio yanayomsumbua. Sijawahi kusikia mtu unakuwepo kwny event halfu kwa niaba anaenda kuchukua m2 mwingine tuzo labda kama ni mgongwa wa miguu!
ReplyDeleteJamani zawadi zote hizo ina maana Professor Jay hakuambulia chochote safari hii?? Au bado kuna washindi wengine hawajatangazwa?? Nawasihi mumpe angalau ile ya kushiriki mara nyingi au mwanamuziki mwenye wapenzi wengi hapo Bongo>
ReplyDeletejide mwanamuziki bora wa kike!?
ReplyDeleteEither of the two is true:
ReplyDeleteMpoki was snubbed by JD or Kili Award was snubb by JD.
I presume it is Mpoki who got it. What's wrong with him? au wa vile anachekesha chekesha?
Mie nipo Hoii na kivazi cha Maunda, arafu yupo na mshua wake,.ebwana daaa ndo udhungu zaidi au?
ReplyDeleteKwakweli sioni cha maana kwa miaka hii alichokifanya JIDE katika tasnia ya muziki, mpaka afikie kuwa mwanamuziki bora wa kike! I dont agree 100%, ni kubebana tu! Wako wadada wamechangamka sana kwa miaka hii, na wako na tungo bomba kama akina mwasiti,maundo zoro n.k! HII YA JIDE NI USHKAJI tu ndo maana aliona AIBU kujitokeza kwa jukwaa!
ReplyDeleteMpaka TBL watakapojitoa na kuwa si wazungumzaji wa hii award ndo mizengwe itaisha. priority no 1 ya TBL ni kuuza bia, hivyo ikitokea conflict of interest ni wazi jibu liko wapi
ReplyDeleteHIZI AWARDS ZA KIFISADI.....
ReplyDeleteWHERE IS MY FAVORITE ARTIST MATONYA.....hata kama sijakuona u still the winner homie....
mississippi 4EVER!!!!!
Wadau naombeni msaada wenu kwa yeyote anayejua. Nini maana ya kuweka vidole viwili(Chadema)juu wakati wa kupiga picha?Wakati mwingine kidole kimoja au vitatu mi nachanganyikiwa kabisa.
ReplyDeleteWanamaanisha au kuashiria nini?Ukiangalia picha hizo hapo juu utaelewa namaanisha nini.
Naombeni msaada wenu
Ankali we malizia tuuu apo kutoa tuzo zako na ze Fulanaz yako apo.....lakini tunaomba uje utuandikie maelezo ya kina kuhusu ze fulanazi tafadhali maaana watu tusha jitambishia sana kua tumeshinda ze fulanazi hahaaaa....Ankali ama lilikua changa la macho???si mchezo Ankali apo kweli naamnini Globu ya jamii inafanya kazi maana si rahisi kuona mutu anampa msanii tuzo apo Hongera sana
ReplyDeletemwisho mimi ni mwana libeneke ambae glob ya jamii ni kama maji kwangu kila dakika kazaa zisizo zidi tano au kumio nafungua globu ya jamii maana ata simu yangu home page yake ni ya Globu ya jamii
aminia mzee wa Fulanazzzzzziii
Mdau Nakadharika apa
HAPO waliopata tuzo za halali ni mjomba na joe makini. wengine wote wizi mtuuuuupuuuuuuuu!!!!! JD keshachoka, AY hamna KITU. RUSHWA TU.
ReplyDeletemithupu usiibanie!!!
HOngereni Afrcan Stars Band wana WA KUTWANGA NA KUPEPETA KWA KUJIZOLEA TUZO TATU.
ReplyDeleteHAKUNA UBISHI ALBUM YENU YA MWANA DAR ES SALAAM NI YA KIWANGO CHA JUU AMBAPO HAKUNA BENDI ILIYOWAKARIBIA KWA MWAKA HUU.
Lady JD siyo kwamba alimdharau MPOKE au KILI MUSIC AWARD. Ila aliindika mapema kwenda kuwahi contract performance yake ya kule ZOUNGH GARDEN anakopiga kila ijumaa. Mlitaka aharibu contract yake inayomuweka mjini?.Atakula kwenu?. Acheni hizo
ReplyDeleteINO KUMBE UPO? MBONA KIMYA MSHIKAJIWANGU?
ReplyDelete