Gari zikiwa zimepandana mara baada ya lori la mchanga kufeli breki na kugonga gari lililokuwa mbele yake na kupelekea gari hilo kugonga la mbele yake na kuendelea.ajali hii imetokea leo majira ya saa nane mchana maeneo ya magomeni mikumi.hakuna aliepoteza maisha katika ajali hii.
wananchi waliofika katika ajali hiyo wakiangalia jinsi magari yalivyoharibika vibaya mara baada ya kutokea kwa mzinga huo.
lori lililosababisha ajali ya magari yapatayo 6 likifanyiwa matengenezo mara baada kuzimika katika mzinga huo.
Home
Unlabelled
ajari nyingine magomeni mikumi leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Nomba kuuliza ajali kama hii nashikiliwa dereva au muwajiri?? i mean nani analifa hasara dereva au mwajiri wake?
ReplyDeleteKwa miaka mingi sana tumekuwa tukiona na kusikia "Lori la mchanga lilikosa brake na kuzoa wapita njia" au "kusababisha ajali" n.k. na maisha ya watu wengi hupotea.
ReplyDeleteKumbukumbu yangu inaniambia haya malori huwa yanaendeshwa mwendo wa mashindano. Mfano yale yanayoenda njia ya Chalambe kule Mbagala mpaka kimanzichana?... Haya huwa yanaendeshwa mwendo wa hatari kabisa. Nina maswali mawili tu: Kwanza, Haya malori huwa yanakaguliwa ubora wake wa kuwa barabarani? Je, madereva wana-leseni halali na wanazo-sifa zinazotosha kuendesha haya malori?
Maswali haya pia ninayaelekeza kwa madereva wa mabasi ya abiria.
Mdau,
Ughaibuni
Poleni mliohusika. Inasemekana Dereva wa lori alishikwa na ugonjwa wa kifafa.
ReplyDeleteAjali hizi zitatokea hata kwenye ma flyover yanayopigiwa kelele. Tutafute ufumbuzi wa kweli wa matatizo ya foleni. Tutafute ufumbuzi wa kweli wa matatizo ya ajali barabarani.
ReplyDelete