.Presentation of credentials by H.E. Ms. Radhia N.M. Msuya, High Commissioner of Tanzania to South Africa delivers her government's message to the President of South Africa., H.E. Mr. Jacob Zuma when she presented her credential at the Presidential Guest house in Pretoria The President of South Africa H.E. Jacob Zuma makes a welcoming statement to H.E. Ms. Radhia N.M. Msuya, High Commissioner durinh the brief ceremony

The President of South Africa H.E. Jacob Zuma poses with the new Tanzania High Comissioner to South Africa H.E. Radhia Msuya
President Zuma and the new Tanzania High Commissioner to South Africa H.E. Radhia Msuya pose with the two accompanying officials from the Tanzania High Commission in Pretoria. They are Brigadier Gen. Simon Mumwi ( Defence Attache) and Mr. Robert Kahendaguza (Head of Administration and Finance). Regards




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 11, 2010

    hapa naona JK anamtafuta ubaya JZ au hamjui JZ vizuri?

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 11, 2010

    Suali kwa watanzania mliopo south africa wakati huu wa world cup. Ni sehemu gani mtakuwepo kwa wingi kuangalia mechi na kubadilishana mawazo.

    Tupo kundi la vijana wa kiafrika kutoka denmark tunatuwa kesho JB, tuna tickets za mechi mbili na zilizobaki tunakusudia kuangalia katika big screens, jee ni wapi watanzania mtakuwa kwa wingi?

    ahsanteni

    ReplyDelete
  3. Mume Wangu, Mikanjuni TangaJune 11, 2010

    Anony wa kwanza hapo juu, siku zote chakula kizuri kula na ndugu yako na jirani mbaya mkabidhi mtoto amlee, acha wivu na mzee JZ.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 11, 2010

    we kijana wa ki-denmark unatafuta kuporwa.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 11, 2010

    Hivi ni lini tutaondokana na lugha-potosha ya kuita Balozi wetu katika nchi iliyokuwa koloni ya Mwingereza "High Commissioner"


    Sisi ni Jamuhuri; sio enzi tulizokuwa na Waziri Mkuu (chini ya Malkia wa Uingereza aliyekiwakilishwa na Governor-General wake!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...