Home
Unlabelled
BUNGENI DODOMA ASUBUHI HII
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
whats so special??
ReplyDeleteNadhani wabunge walikuwa wamechelewa kuingia Bungeni kama siyo kutokuwepo kabisa (kuwa katika majimbo yao kwa ajili ya uchaguzi mwaka huu)!!!
ReplyDeleteHilo ndo bunge letu lenye wabunge zaidi ya 300. viti vyeupee. wanasubiri kurudi tena Oktoba. bongo tambarareeeeeeee.
ReplyDeleteHilo ndio Bunge letu inaonekana Wabunge hawahudhurii vikao vya Bunge Je ndio wameanza mchakato wa Kugombea hivyo vikao vinaweza kuwapotezea muda.
ReplyDeleteA Black African Father and Son are traveling from USA to London...the pilot
ReplyDeleteannounced:
"The fuel tank is getting empty,we have to throw out the baggage."
Baggage were thrown.
After a while,pilot announces:
"The plane is still too heavy,i am very sorry but we have to start unloading
passengers...
And to make it fair as possible we will do it in a alphabetical order...
Are there any Africans on board?"
No answer.
"Ok,any Black people on board?"
No answer.
"Ok...any Colored people?"
No answer.
"Hmm...any Dark people?"
Still no answer.
Then the boy asks:
"But dad...i thought you said that we are proud African Black Colored Dark
people?"
"Yes my son...but today we are Niggers!! lol
wabunge wako majimboni au? mbona bungeni kweupeeeeeeeee!!!!!!!!!
ReplyDeleteHIVI KANUNI ZA BUNGE ZINASEMAJE KUHUSU KUTIMIA KWA KORAMU YA WAJUMBE/WABUNGE BUNGENI ILI KUJADILI MADA MBALIMBALI. NA JE NI KWELI IDADI KUBWA YA VITI VINAVYOONEKANA WAZI KWELI HAWA WATU WAMEOMBA RUHUSA YA KUTOKUFIKA BUNGENI NA WAKARUHUSIWA AU WALA HAWAKUOMBA RUHUSA. NAFIKIRI HAPA KUNA HAJA YA KUFANYIA MAREKEBISHO KANUNI ZA BUNGE ILI AIBU AU UTOVU WA NIDHAMU KAMA HUU WANAOTUONESHA WABUNGE WETU TULIOWACHAGUA KUTUWAKILISHA BUNGENI WAADABISHWE. KUNA SIKU TBC WALIAMBIWA WASIRUSHA LIVE MAANA BUNGENI KULIKUWA KUNA WACHACHE SANA BADALA YAKE IKABIDI WAONESHE MPIRA
ReplyDeleteNaibu Spika anomba dua kuombea viti vitupu bungeni, Kweli kodi yetu inatumika vibaya.
ReplyDeletehina maana viti vya bunge ni vingu kuliko wabunge or ???
ReplyDeleteKweli homa ya uchaguzi...........wako wapi?
ReplyDeletewabunge wenyewe wako wapi kaka?????????? nchi hii bwana tunapelekwa kijinga nashangaa spika na ukali wote anashindwa kuthibiti tabia mbovu ya utoro iliokithiri kwa wabunge.aibu ukumbi wa kisasa lakini hakuna la maana.hebu mtizame bunge la kenya na nchi nyingine ukumbi full masaa yote,ndio maana nimeamua nisipige kura mwaka huu wizi mtupu
ReplyDeleteHee!! mbona mjengoni kweupe ? kwani mechi za worldcup zishaanza sahizi ??
ReplyDeleteWako wapi wabunge?
ReplyDeleteHivi ulazima wa kuwahi kazini unawahusu watumishi tu na sio pia hawa waajiriwa wetu toka majimboni?
Kweli wabunge wanaoitwa "viti" wamesimama, ndio maana watu wanapigana vikumbo kuingia bungeni hata wasomi wetu. Kama tabia za wabunge wetu zipo hivi, tutawalaumu vijana wetu?
ReplyDeleteNimeangalia idadi ya wabunge waliosimama na viti vitupu nikaona kuwa mahudhurio ni hafifu mno. Sijui kwa nini hakuna utaratibu wa kutimia kwa quorum ili angalau nusu ya wabunge wawepo kikaoni wakati huo.
ReplyDeleteHaifurahishi macho ya watazamaji kukodolea macho viti vitupu vya bunge. Tunataka kuwaona wabunge wakiwa kazini...
VP KAKA MICHU, VITI HAVIKALIKI TENA VIMEKUWA VYA MOTO?????
ReplyDeleteAnko Michu Mbona viti viko wazi? au ndo tuseme sasa wako busy na majimbo yao?
ReplyDeleteNkya
a-town
mbona siti nyeupe?hazina wawakilishi?
ReplyDeleteMahudhurio bungeni mmmmhhhhh! Au wako vijijini wamalizia utekelezaji wa irani ya uchaguzi kwa kugawa vyandarua na pikipiki????
ReplyDeletemoja, mbili, tatu, nne, tano, sita, saba,.........kumi. Du kwisha habari yetu, tusubiri October tufanye maamuzi waTz. Haiwezekani hawa jamaa wanatutania. Ni kwamba wapo kwenye kampeni za siri au wapo wamelala kwa kuchelewa kuangalia kombe la Dunia? lakini mchezo wa mwisho si unaisha saa 5?
ReplyDeleteHaya bwana, Yote maisha,
We Ankal huu ni uchokozi sasa,ndio nini kuonyesha viti tupu na kusema wabunge wakiwa wamesimama kwa dua!!!Wenzio tuko busy majimboni huku maana mavuvuzela wanapita pita sana huko,wasijeharibu ulaji.
ReplyDeleteYaani hata kumi(10) hawazidi!!!Kweli pesa ya umma inaliwa wazi wazi.
ReplyDeleteLICHA YA VITI KUWA VYEUPE KUNA WABUNGE HAWAJAWAHI KUCHANGIA MADA KWA KUONGEA HATA SIKU MOJA, MFANO MZURI NI MBUNGE WA ILEJE,HUYU JAMAA ANAKULA PESA TU JIMBO LAKE LINAONGOZA KWA UMASKINI MBEYA HAKUNA BARABARA AFU YEYE ANAKAA BUREEEEEE TU BUNGENI, HAFAI KWA KWELI
ReplyDeleteANKO USIBANIE HII KOMENTI SISI WANANCHI WA ILEJE TUMECHOSHWA.!!!!!!!!
hakuna la kushangaa, kwani hujui wako wapi? Kanyaga twende
ReplyDeletesasa bunge linaongezwa la nini? viti vinatosha kabisa kwa mahudhurio haya, hata kama wataongezeka wabunge 100, maanake ukifanya hesabu ya haraka hakuna wabunge hata 50 bungeni hata tukionyeshwa picha ya bunge lote. Wasipoteze hela ya walipa kodi bure kwa kurekebisaha bunge.
ReplyDeletesijawahi kuona bunge limejaa, kama ni siku ya kuapishwa wakakae kwa wageni.
Mabunge mengine watu wanababa kama shule na zinatoka hoja zenye akili, hawa wamekaa kwa starehe ndio wanafanya vituko.
Ama kweli mtego haumnasi aliyeutega!!!!!!!!!!!!!!
ReplyDeleteHIVI WASIPHUDHURIA BUNGENI WANALIPWA POSHO PIA?
ReplyDeleteKAMA WANALIPWA HIYO POSHO NI YA KUHUDHURIA WAPI? MNADANI?