

(picha na Freddy Maro)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Duh Muheshimiwaaaaaaaaaa, hatimae umeenda kigoma, Kati ya mikoa ambayo iko nyuma kimaendeleo Tz ni Kigoma, mpaka leo barabara moja ya lami, Maji na umeme wanasoma magazetini ingawa kuna chanzo kizuri cha umeme kutoka lake Tanganyika , hata sijui tatizo nini??
ReplyDeleteMi nadhani Mhashimiwa amepita kule kwakuwa ule wakati unakaribi!!!
Tunashukuru kwamba Raisi amefungua maabara hiyo ya kisasa lakini kwa jinsi mkoa wetu wa Kigoma ulivyoachwa nyuma bila huduma muhimu za kijamii ikiwemo umeme mi naona ni kazi bure maana itafika wakati hiyo maabara itashindwa kufanya kazi kwa vile umeme hautakuwepo. maana hata hicho chanzo tulichokitegemea kutoka mto Malagarasi jamaa wa Millenium challenge wametoa nje.
ReplyDeleteSERIKALI YA JK INAYAJUA VIZURI MATATIZO YA MKOA WA KIGOMA ILA INAFANYA KIBURI TU KUYATEKELEZA NA SI KIGOMA TU TZZ IMEJAA MATATIZO LUKUKI,IPO SIKU WANANCHI WATAFANYA MAAMUZI YA TOFAUTI,KWANI SI MSAFARA WAKE USHAWAHI KURUSHIWA MAWE??????? PIPO WAMECHOKA
ReplyDeleteKweli kombe la dunia liko juu. jamaa hata maoni hawatoi siku hizi. Jamani, kwa yule anaesema kigoma maji na umeme wanavisoma magazetini nafikiri haijui kigoma. Hali sio mbaya kiasi hicho siku hizi, Kigoma iko nyuma lakini inasogea kidogo kidogo: sio kweli kuwa barabara yenye lami Kigoma ni moja: anaesema hivyo haijui Kigoma. Wawekezaji wa ndani na nje msikatishwe tamaa: karibuni. Kigoma ya miaka mitano iliyopita sio kigoma ya sasa.. kumbukeni pia msafara uliorushiwa mawe sio wa Kikwete, ni wa Mkapa. Nawashukuru na kuwapongeza vijana wa "urusi" kigoma kwa mchango wao wa masuala yahusuyo maendeleo: mko juu na mko creative: ikiwezekana wana kigoma waweke record ya maoni ya "urusi" na yasambazwe kwa wengi watu waone jinsi ndugu wa Kigoma walivyo ... kigoma haiko nyuma kiasi wengi wanavyofikiria.. tembea ujionee
ReplyDelete