Mdau Rosemary kaibuka na libeneke jipya la MWANAMKE NA NYUMBA lenye lengo la kuzungumzia mambo haya na yale katika jamii.
Globu ya Jamii inatoa pongezi nyingi kwa mwana libeneke huyu na kumtakia kila la heri katika kuliendeleza. Mtembelee mdau Rosemary:

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...