Mzee wangu ameomba nimsaidie kumtafuta kijana wake anaitwa Masanja aliyezaliwa mwaka 1970 , Mama yake ni Bibi Emiliana Mayowa Kisabago aliyewahi kuwa Katibu Muhtasi ofisi ya RDD -MWANZA kuanzia mwaka 1973 kuendelea .Mama huyu ni mwenyeji wa kijiji cha Katoma mkoa wa Kagera .
Mwenye taarifa ya kijana huyu au mama huyu naomba
Mwenye taarifa ya kijana huyu au mama huyu naomba
tuwasiliae kwa namba 0655 297783
au email: osicstz@yahoo.com
Natanguliza shukrani
Natanguliza shukrani
Mdau Dar
Hi, jaribu weka details kamili sio nusu nusu, kwani "Masanja ni wengi tu weka jina lake kamili, alisomea shule gani na mwaka gani, au chuo gani, mara ya mwisho alikuwa anafanya nini na anaishi wapi, ikiwezekana basi weka hata picha yake!!
ReplyDeleteWewe anony huoni kwamba huyu baba anamtafuta mwanaye ambaye anakumbuka mwaka tu aliozaliwa kwa kuwa alimuacha huyo bibi na ujauzito? sasa atajuaje details zake wakati alimkataa? au alimkimbia au mazingira yalisababisha chochote?
ReplyDeleteKabla ya ku-post kitu cha muhimu, kisome na kukihakiki makosa kwanza. Haiwezekani yeye azaliwe 1970 halafu miaka 3 baadae (1973) awe Katibu ofisi ya RDD!
ReplyDeleteanony wa tatu kutoa maoni, nadhani una frustrations fulani, hauko sawa kabisa. jaribu kujipumzisha au punguza mawazo. dah umenisikitisha sana!! hebu soma tena hiyo post!!!
ReplyDeleteMartin
Wewe hapo juu unayekosoa ndio unatakiwa usome vizuri....Mmeambiwa mtoto alizaliwa mwaka 70 na mama wa huyo mtoto ndio alikua anafanya kazi rtd mwanza mwaka 73....
ReplyDeleteMimi kwa huyo baba swali langu ni hili ilikuaje upoteane na mama watoto wako na mtoto wako muda wote huo? Au ndio wale wazee wa zamani deadbeat dads wenye fikira potofu za kukimbia majukumu na kutegemea watoto watawatafuta wakiwa wakubwa?
ile nyimbo ya q chif " si ulinzaa wewe ukanikataa sasa iweje unaona ninafaa" miaka 40 jamani hapana this is three much!
ReplyDelete