MAREHEMU BIBI FATUMA MHINA

FAMILIA YA MAREHEMU BAKARI MAHARAGE JUMA WA UPANGA DAR ES SALAAM WANASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA MAMA YAO BIBI FATUMA MHINA KILICHOTOKEA DAR ES SALAAM TAREHE 19 JUNI SAA NNE ASUBUHI KATKA HOSPITALI YA TUMAINI DAR ES SALAAM.
MIPANGO YA MAZISHI INAFANYIKA NYUMBANI KWA MAREHEMU NAMBA 595 MTAA WA KALENGA UPANGA MAGHARIBI DAR ES SALAAM, NA MAZISHI YANATARAJIWA KUFANYIKA JUMATATU BAADA YA SALA YA ALASIR KIJIJINI NIROBI, GOMBERO, TANGA.
HABARI ZIWAFIKIE UKOO WA MWAWADO,
UKOO WA MICHUNGWANI,
NDUGU JAMAA NA MARAFIKI POPOTE WALIPO
-BALOZI MOHAMED MAHARAGE JUMA

Ina lilahi wa ina ilahi rajaun


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. POLENI SANA

    ReplyDelete
  2. shemejie risaseJune 19, 2010

    Ina lilahi wa ina ilahi rajaun.. poleni sana mungu awape nguvu kwa wakati huu mgumu.

    ReplyDelete
  3. Patrick TsereJune 19, 2010

    Balozi Mohamed Maharage. Poleni sana. Naomba unifikishie pole zangu kwa wanafamilia wote. Inna Lilahi wa Illahi Rajiun. Twamuomba Mola awape moyo wa subira inshallah.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 20, 2010

    Kassim, Moh'd, na wanafamilia wote poleni sana na tunamwomba Mola amlaze mama mahali pema peponi.
    Inkishafi.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 20, 2010

    RIP Bibi. Poleni sana Uncle Mohammed na familia yote ya akina Maharage. INNAH ILLAH WA INNAH LILLAH RAJIUN

    NURU MBAROUK K M

    ReplyDelete
  6. Mungu amlaze mama pema peponi. Poleni sana wote

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 20, 2010

    POLENI SANA WAFIWA MUWE NA SUBIRA KATIKA WAKATI HUU MGUMU BALOZI MWAWADO POLE SANA.
    AHSANTE.
    KWA NIABA YA UKOO WA MAREHEMU BRIGEDIA H.MRISHO.
    {JUMAPILI}

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 20, 2010

    POLENI SANA NDUGU ZANGU KWA MSIBA WA MAMA YETU/BIBI. MWANAIDI NA LITUNGENI NA NDUGU WOTE POLENI SANA. MUNGU AILAZE ROHO YAKE PEPONI. AMIN.
    TOKA KWA MAMA DYAMWALLE SAFARINI MAREKANI.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...