
Kwa niaba ya New England Umoja, tunapenda kuwaalika jamaa na marafiki wote kwamba kutakuwa na shughuli za Soka Fest 2010 kuanzia Julai 2 hadi Julai 4, 2010 hapa Massachusetts.
Huu ni mwaka wa tisa toka 'New England Umoja' uanze shughuli hizi hivyo tunaomba watu wajitokeze kwa wingi.
Kwa maelezo zaidi angalia
www.newenglandumoja.net
Au wasiliana na Katibu wetu Bwana Salum Salum (617) 308.2971
Tunatanguliza shukran!
Isaac A. Kibodya,
Au wasiliana na Katibu wetu Bwana Salum Salum (617) 308.2971
Tunatanguliza shukran!
Isaac A. Kibodya,
Vizuri sana bwana Michuzi kupata habari ya hii wikiendi..! Nimefanikiwa kuudhuria Tamasha hili miaka miwili sasa kwa kweli nilifurahi kuona Watanzania wengi wanafurahi. Michezo ilikuwa ni mizuri, chakula safi (ng'ombe mzima) walimuangusha...!
ReplyDeleteTutaonana Tena,
Mtanzania,
Dallas, TX
Ahaaa mbona dj richmaka yuko bongo acheni uongo, but party yao inakuwaga bomba kishenzi
ReplyDeleteMdau
new york
Kwa masikitiko makubwa nimepokea msiba wa aliyekuwa mhadhiri muandamizi na Mhariri Mtendaji wa Research News Later katika Chuo Kikuu Cha Taifa Cha Zanziba. Profesa Mohammed A. Mohammed.
ReplyDeleteDaima nitamkumbuka sana kwa wema, ukarimu na ukakamavu wake katika kulisukuma mbele gurudumu la elimu nchini.
hadi anaaga dunia alikuwa natumikia kitengo cha utafiti na ushauri, suza.
profesa ingawa hatunawe kiwiliwili lakini mawazo yako mema na mazuri tutayaendeleza daimaa.
inshallah allah akulipe kheri nyingi na malipo mema.
INNA LILLAHI WAINNA ILAIHI RAJIIUN...
MWANAFUNZI ,SUZA. 2003-2006
ABDULLA KH HASSAN