

sehemu hiyo kila kukicha kutokana na kutowekewa matuta

Wananchi wanaoishi Kunduchi Mtongani jijini Dar, leo walizua kizazaa baada ya kuifunga barabara kuu inayotoka Mbuyuni kuelekea eneo hilo kufuatia gari aina ya Toyota Hiace linalofanya shughuli za daladala kati ya Kunduchi na Mwenge kuwagonga watoto wawili wa familia moja ambapo mmoja inasemekana amefariki dunia.
Vurugu hizo zilisababisha askari wa kutuliza ghasia FFU waliofika eneo la tukio kulazimika kutumia mabomu ya kutoa machozi kuwatawanya wakazi hao waliojawa na jazba, lakini bila mafanikio makubwa. Zogo liliendelea kwa karibu masaa manne kabla ya kutulizwa.
kwa picha na habari zaidi tembela Global Publishers BOFYA HAPA
Haya mambo huwa yanaanza hivi hivi. Inaonyesha ni jinsi gani watu walivyokata tamaa na watawala. No body is listen to them, so they are entitled to protest.
ReplyDeleteMichuzi,
ReplyDeleteMimi ninaona sasa hii imekuwa kama serikali yetu inatupilia kila tatizo juu ya pesa au fedha. Kutatua ajali barabarani kunahitaji serikali kuu na serikali za mitaa kushirikiana kama hivi:
1. Wizara ya mambo ya ndani (home affairs) police traffic washughulikie mambo ya sheria za barabarani.
2. Serikali ni lazima waunde wizara ya usafirishaji na magari, hii wizara hitasimamia utoaji wa leseni na mafunzo ya medereva. Na kuhakikisha madereva wenye leseni wanaelimishwa juu ya usalama wa barabarani kabla ya kupewa leseni.
3. Mahakama ya Usalama wa magari na Medereva, hii wanashugulikia mashtaka ya madereva. Hii iwe administrative court, juu madereva waalifu.
4. Majaji wawe wanachaguliwa na wananchi kwa kupigiwa kura kila baada ya miaka 3 au miaka 4.
5.Serikali kuu lazima wabadili sheria za usalama wa barabarani kwa sababu wizara ya mambo ya ndani pekee imepangia mambo mengi sana.
3.
SOLUTION; JK, huu ni wakati wa uchaguzi, WEKA FRYOVERS, MATATIZO YA KUGONGWA GONGWA WALALA HOI YATAKWISHA MARA MOJA NA KURA TUTAKUPIGIA. We know there will be no more fryovers after election is over.
ReplyDeletewewe mdau wa Thu Jul 22, 03:28:00 AM fryover ndio nini? na unataka kukaanga nini hasa? kama hujui kiingilishi kwani ni lazima useme?
ReplyDeleteSafi sana. Nafurahi kuona waTanzania wakiweka upole usiokuwa na maana pembeni.
ReplyDeleteWatanzania sasa wanaamka, wameanza kidogo kidogo sasa itasambaa nchi nzima watu hawataki mchezo na haki zao.
Kuhusu swala la 'fryover' kwa kweli wewe mdau wa 8.00 am, Would you like to be 'fried over' like an egg? Labda siku moja waTanzania watafunga barabara/andamana kudai watu waandike kwa ufanisi :)
I think that guy/girl aliyeandika "FRYOVER" he was just trying to be funny yet this here is a serious issue...it's time we Tanzanians start talking sense, flipping words and giving funny advises should be now end because this is where most of us are mislead, we do entertain so much of "bullbleep"...as they say, talk is cheap!
ReplyDeletemdau,
Ashkmatit
SWALI:hivi kuweka matuta barabarani ni sheria au by-laws gani katika Tanzania na imendikwa kwa utekelezaji kwa barabara zipi hasa na aina ya matuta je?
ReplyDeletebinafsi siijui wala siielewi
nijibiwe hili wadau!!
"FRYOVERS"... Huyu kweli ameamua. Au labda ni wale wanaotumia L kwenye R. Maybe he/she wanted to say "FLYOVERS"...kwa kuwa wananchi wamezungumzia magari yanayokimbia sana...this could be the closest word to his own. Peace and Love my TZ people!
ReplyDeletemdau 11:16:00 AM
ReplyDeletebarabaea za matuta "BUMPING ROADS" au "NO DRIVING ZONE" zipo sehemu nyingi hata katika nchi zilizoendelea,barabara hizi ni muhimu saana katika maeneo ya ukaribu wa shule za watoto au sehemu zenye msongamano wa watu wengi kama masoko au maduka mengi,nafikiri tatizo letu hapo kunduchi mtongani litamalizika kama kutakuwepo na matuta "BUMPING WITH LOW SPEED 15 KM PER HOUR" Tanzania hilo halitokuwa tatizo kubwa la kupoteza maisha ya binadamu tuna mafundi wakitaalamu.
Mickey Jones
mdau wa Denmark
Nimefurahi sana kuona hao akina mama wamechukua hatua hiyo! Wamechoka, na sisi tumechoka kwa ujumla. Wanajua kuwa hakuna hatua ambayo ingechukuliwa hadi mtoto wa mkubwa agongwe au mkubwa apate ajali hapo! Waweke matuta ili kulinda maisha ya watu wote!
ReplyDeleteAKINA MAMA JUU, JUU, JUU ZAIDI!!!!
Asante kaka Michuzi, tuhesabu siku tuone hayo matuta yatawekwa lini? Naomba utupe feed back.Wanohusika na hizo barabara wapo kwenye mitandao wanasoma wanasubiri msaada utoke nje.Ndiyo waweke matuta.
ReplyDelete