

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
KWELI MICHUZI BLOG TAMBARARE. YAANI JAMAA UMEMNYENGA HIVI HIVI WAKATI ULISHASEMA UNAANDAA ZAWADI YA MDAU WA MIL.9! KINDA OF UNFAIR THING.
ReplyDeleteHongera sana kaka.Bila shaka mdau wa milioni 10 yupo kwenye kona.Keep it up!
ReplyDeleteIts absolutely not fair .. mpeni haki yake jamani mbona mnakuwa hivyo ankal mmekuwaje tena Meku?
ReplyDeleteAnkal unatufanyia hujuma.......Mil 10 sio leo.........Kazi njema
ReplyDeleteMmabo ya Mo Ibrahim hayo Michu. Acha ubanizi.
ReplyDeleteHii inaonekana wazi kuwa ilikuwa ni channga la macho.
ReplyDeleteKuna tofauti kati ya = "its na it's" = nenda nyuma ukasome grammar tena WEWE ULIYESEMA "Its absolutely not fair" YOU SHOULD HAVE SAID OR WROTE IT AS "it's absolutely not fair" as "its" is for possession and "it's" is for short form of "it is"
ReplyDeleteningeshauri mtafiti jinsi hio kaunta inavyofanya kazi kabla ya kutangaza shindano.
ReplyDelete--mathemagician