Globu ya Jamii inatoa shukrani nyingi za unyenyekevu kwa wadua wote popote mlipo duniani kwani hatimaye tarakimu inaonesha kwamba mdau wa milioni 9 kutembelea libeneke hili ameshapita na tena amepita hata kabla mchakato wa zawadi haujakamilika. Hivyo safari hii, ambapo spidi ilikuwa kali ya wadau kutembelea kwa wingi, kutakuwa hakuna zawadi bali juhudi zinafanywa kujiandaa kutoa zawadi nono kwa mdau wa milioni 10.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 28, 2010

    KWELI MICHUZI BLOG TAMBARARE. YAANI JAMAA UMEMNYENGA HIVI HIVI WAKATI ULISHASEMA UNAANDAA ZAWADI YA MDAU WA MIL.9! KINDA OF UNFAIR THING.

    ReplyDelete
  2. Hongera sana kaka.Bila shaka mdau wa milioni 10 yupo kwenye kona.Keep it up!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 28, 2010

    Its absolutely not fair .. mpeni haki yake jamani mbona mnakuwa hivyo ankal mmekuwaje tena Meku?

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 28, 2010

    Ankal unatufanyia hujuma.......Mil 10 sio leo.........Kazi njema

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 28, 2010

    Mmabo ya Mo Ibrahim hayo Michu. Acha ubanizi.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 28, 2010

    Hii inaonekana wazi kuwa ilikuwa ni channga la macho.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 28, 2010

    Kuna tofauti kati ya = "its na it's" = nenda nyuma ukasome grammar tena WEWE ULIYESEMA "Its absolutely not fair" YOU SHOULD HAVE SAID OR WROTE IT AS "it's absolutely not fair" as "its" is for possession and "it's" is for short form of "it is"

    ReplyDelete
  8. mathemagicianJuly 28, 2010

    ningeshauri mtafiti jinsi hio kaunta inavyofanya kazi kabla ya kutangaza shindano.
    --mathemagician

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...