bro michu vipi?
e bana wakati sie ndio tuaanza anza kuonja utamu wa bajaj wenzetu walianza long time,tofauti kibajaj hiki kina tairi mbili mbele kwahiyo huna haja ya kuogopa kupiga mwereka labda mwereka kwa nyuma a.k.a.(ngwara). jamaa kakitunza na mpaka leo. nimekifumania mahali kinauzwa,uliza bei yake sasa ni pesa ya madafu milioni 16.5 tu,haya kama kuna mteja awahi.

na kingine mkuu naomba uniwekee kablog kangu
na wote wanakaribishwa kuchangia mawazo picha na lolote wakitaka,
ahsante
mzee wa libeneke oyeeeeeeee!.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 20, 2010

    Yaani nitoe milioni 16.5 kwa ajili ya hiki kitoroli.Niache kununua Corolla yangu na chenji irudi.Mimi nashauri mwenye hichi kigari akakipeleke jumba la makumbusho.!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 20, 2010

    Aheri kuruka kichura kuliko kupanda huyu chura!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...