Home
Unlabelled
ligi daraja la kwanza mchezo wa netiboli TTC Club
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
jamani mimi naomba mnieleweshe kama nitakuwa nimekosea! huu mchezo nazani wanacheza wanajeshi tu kwani sijawahi ona uku ulaya watu wanacheza netball Maybe volleyball najua unawapenzi wengi!! mimi naona hiyo net ball ya watanzania ni bora wacheze baketball ya wanawake tu tujuhe moja!! kwanza kwa nini wachezaji wetu wa net ball BIBI TITI zina kuwa kubwa sana !!!
ReplyDeleteni mtazamo tu
ACHENI KUCHEAZA NETBALL AMKENI WATANZANIA CHEZENI HANDBAL BASKETBALL ,RIADHA, TENIS, MICHEZO INAYOJULIKANA KIMATAIFA UKISEMA NETBALL NAULIZWA NETBALL NINI?? JIKWAMUENI NA UMASKINI KWA KWENDA NA WAKATI MIMI NIMECHEZA HIYO NETBALL NIKO HUKU NJE NASEMA AFADHALI NINGEPOTEZA MUDA WANGU KUJIFUNZA HANDBALL HUU MCHEZO NIWAWAINGERZA NIWAKINA MAMA TENA WATU WAZIMA WANENE ILIWAPUNGZE MATUMBO, HIVI JAMANI HUU MCHEZO UPO OLIMPIC???? tena nasiia eti wanacheza wanaume sikuhizi MAKUBWA TOBAAA!!
ReplyDelete