Bwana Michuzi.
Natumaini kwamba kila kitu kiko salama.
Rafiki yangu aliyeko Mwanza anahitaji msaada wa haraka na naamini blogu ya jamii inaweza kusaidia.

Anamtafuta kwa haraka sana jamaa yake aitwaye JAFARI KIJENGE ambaye inasemekana yuko Shinyanga au Tabora.Kama kuna ye yote mwenye taarifa zake basi awasiliane nami kupitia barua pepe zifuatazo:
profesamatondo@gmail.com
Natanguliza shukrani zangu za dhati kabisa kabisa.
Mwalimu Matondo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 13, 2010

    KITENGE yupo ITV Radio One pale mikocheni dar .. mwambie aende pale atamkuta.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 13, 2010

    Mkuu,

    Anon Tue Jul 13, 04:37:00 PM

    Umenichekesha ile mbaya. Michuzi, humu mwako kuna wadau wamenyooka kinoma duuh!?

    Mdau, Helsinki.

    ReplyDelete
  3. Asante sana Bwana Michuzi na mdau hapo juu kwa msaada. Anayetafutwa siyo Kitenge bali ni KIJENGE na inasemekana yuko Shinyanga mjini. Shukrani zaidi!

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 13, 2010

    WATU BWANA WANAKURUPUKA TU, ANAYETAFUTWA NI KIJENGE SI KITENGE KAMA PROFESSOR MATONDO MZUZULLIMA ALIVYOSEMA HAPO, MSIKURUPUKE TU SOMA KWANZA KWA UTARATIBU NA KUELEWA

    ReplyDelete
  5. Mdau wa Helsinki nilikua sijaelewa maneno yako mpaka nimesoma maneno ya Masangu na anon wa jul 13 07:36 nimecheka vibaya sana,kweli tuache kukurupuka au ndio kapinda?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...