

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mbezi beach kuna matajiri kibao na ni waislamu hivyo sina shaka michango itapatikana ya kutosha sanaaaa na msikiti huu utakuwa state of art. ShefJo, dar
ReplyDeletea/alaikum warahmatullah mtume wetu muhammad (s.a.w)anasema ukijenga nyumba ya allah hapa duniani basi allah atakujengea yako tena ya kudumu huko akhera.
ReplyDeletekwanini msikiti ujengwe karibu na eneo la kulenga shabaha la JWTZ? hivi hakutakuwa na usumbufu wakati wa swala?
ReplyDeleteAssallam Allaikhum kutoa ni moyo hao Matajiri MOLA amewapa UTAJIRI kwa mitihani kwa hiyo mwisho wa kutoa utaona watakachotoa wanajilimbikizia watadhani watazikwa nayo.ushari uongozi wa MSIKITI wafungue acount Bank ili tulio UGHAIBUNI tuweze kuchangia kwani huu ni wakati mzuri wa kufanya biashara na MUWEZA ASIYEWEZWA M'MUNGU.
ReplyDeletemimi napafahamu hapa mahali ni barabarani karibu na daraja la kwa apson. kiwanja hicho ni cha mtu binafsi ambaye amekigawa nusu anaishi na musu unajengwa msikiti. hivi jiji hawajatenga maeneo maalum ya ujenzi wa nyumba za ibada mbezi beach maana sehemu hiyo ni ndogo na kwa vyovyote hapawezekani kujengwa a state of the art msikiti maana ni padogo mno. wapate kiwanja kikubwa ili ujenwe msikiti mkubwa na mzuri kama yalivyo makanisa.
ReplyDeleteUkitaka kusali, hata ndani ya disco unaweza, acha hizo risasi.
ReplyDeleteMwingine nae asema padogo. Jamani acheni MUYUMBA YA MWENYEEZI MUNGU ijengwe!
Nilikuwa sijui kama Michuzi kumbe unabana baadhi za hoja hutoi. Poa Ankal
ReplyDeleteInasemekana hichi kiwanja ambacho waislam wa sehemu hii wanategemea kujenga
ReplyDeletemsikiti kimeshatiwa kwenye orodha
ya kufutiwa hati baada ya fitna za
'watu' kupelekwa wizara ya ardhi.
bwana Michuzi pse fuatilia msiba huu.
anonymous