Home
Unlabelled
kanisa la mutukula lililoshambuliwa na iddi amini
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hapo ni Kyaka na wala si Mtukula
ReplyDeleteAnkal Michuzi, nijuavyo mimi hapo sio Mutukula bali ni Kyaka, njiapanda ya kwenda Mutukula na Karagwe ukitokea Bukoba Mjini. Tafadhali wadau naomba mnikosoe kwa uelewa wenu.
ReplyDeleteMdau Erik-Dare es Salaam.
Michuzi nimeikuta hii e mail inazunguka nimeipenda tafadhali share na wengine.
ReplyDelete''Msiniulize nimefikiria nini mpaka kupendekeza maneno haya ya wimbo wetu wa taifa.
Kila siku tunaimba "Mungu Ibariki" lakini baraka zote tunazopewa zinamezwa na wala-ziada wachache wenye madaraka na vyeo. Wale wasioiona hiyo ziada lakini wana vyeo wanakula rushwa left, right and centre. Mtu wa chini ukitoa malalamiko unakandamizwa na kutishiwa usalama wako. Iliyobaki kwa walala hoi ni hofu na kulalamikia kichinichini. Wanaogopa wakilalamika kijuu-juu hata kile kinachodondoka kutoka mezani kwa wala-ziada watakikosa. Napendekeza maneno ya wimbo wetu wa taifa yabadilishwe kama ifuatavyo:
Fungu la 1.
Mungu ibadili Afrika
Wabadili viongozi wake
Hekima umoja na ukweli
hizi ni ngao zetu
Afrika na watu wake
Ibadili, Afrika
Ibadili, Afrika
tubadili, watoto wa Afrika
Fungu la 2.
Mungu ibadili Tanzania
Wabadili viongozi wake
Hekima umoja na ukweli
hizi ni ngao zetu
Tanzania na watu wake
Ibadili, Tanzania
Ibadili, Tanzania
tubadili, watoto wa Tanzania''
he he heee, eti kanisa! utheme tu lengo lako lilikuwa kuionyesha ile bendera ya sisyemu, kwisha! bulogu ni ya kwako una uhuru wa kuchagua cha kuweka, thithi hatuna neno tutathoma tu, avae!
ReplyDeleteAnkal sins uhakika kama kanisa hilo lipo Mutukula.Nfikiri lipo Kyaka.Kama kuna wadau wanafahamu, tunaomba msaada.
ReplyDeleteIDD AMINI ALIKUWA KIBOKO. Nilifurahi alipowatoa nduki wadosi
ReplyDeleteI think Africa needs more good Idd Aminis....
You are an idiot binti mkorofi. We need more Idd Amins like we need a bout of leprosy!
ReplyDeleteKaka michuzi umekosea hapo ni Kyaka njia panda ya Mtukura na Karagwe na pia hapo ni kabla ya kuvuka daraja la mto Kagera
ReplyDeleteYeah I second you bint Mkorofi. We need couple of those...we are not Xenophobic but mhhhhh
ReplyDeleteWe need Amins to end ufisadi
ReplyDelete