Mkurugenzi wa Kamati ya Miss Tanzania Hashim Lundenga akibadilishana hati za mkataba wa kuwa wadhamini-wenza wapya wa Miss TZ na Mkurugenzi mkuu wa Muzasha Tours Safaris, Papaa Muzamil Katunzi wanaoshuhudia tukio hilo ni Miss Tanzania anayemaliaza muda wake Miriam Gerald, Erasmus Kwayu na Benedict Mulokozi.
Home
Unlabelled
muzasha mdhamini mkuu-mwenza Miss TZ
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Huyu mshikaji si anakipiga pale Akudo Impact? Yeah, nimeishamsikia sana. Hongera kaka.
ReplyDeleteJe, Kwanini wanume wengi wanaohusika na Mambo ya ya Miss Tz, wanafana sana na wauza Nazi wa Karikoo! Maana ukiangalia Babu lundenga, Katunzi na Mulokozi wote hivyo hivyo sura WAKASAMARA!, Ingekuwa kutangaza Biashara ya kuuza nazi au Mnazi wangefaa sana!
ReplyDelete