Mwana Libeneke mkongwe Dk. Fustine

Najua fika nimewatelekeza wasomaji kwa muda sasa. Nimekuwa kwenye kinyang'anyiro cha kuomba nafasi za uwakilishi katika jimbo la Kigamboni.

Mwenyezi Mungu ameweza kunijalia kushinda kura za maoni katika jimbo la Kigamboni kwa kupata kura 4251. Aliyenifuatia alipata kura 2420. Mbunge aliyekuwepo madarakani alipata kura 1997.

Bado nahitaji sala na ushauri wenu katika hatua inayofuata iwapo ngazi za juu za chama kitarudisha jina langu. Tuzidi kuwa pamoja.
Mtembelee kwenye libeneke lake:

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. nakutakia mafanikio mema, nafurahi sana nikiona vijana wanakuja juu katika madaraka, vizee vya ccm sasa kapumzikeni damu changa ije.
    kila la kheri bro.

    ReplyDelete
  2. Hongera sana Faustine...Karibu katika uwanja wa siasa,u deserve ....

    Rodrick Mwambene

    ReplyDelete
  3. Hongera sana Dr. Fustine.

    Ushauri-Kumbuka kwamba uongozi ni dhamana kutoka kwa Mungu.

    ReplyDelete
  4. Faustine,
    I am lost here! chama watarudisha jina. Hii ni siasa mambo sasa. Watu uchaguwa viongozi wao chama urusisha jina? Tatizo sasa.

    ReplyDelete
  5. Vijana wamechoka kuburutwa ...Wyclef Jean to run for Haiti president.....Read the whole story here Wyclef Jean to run for Haiti president

    ReplyDelete
  6. Congratulations musee. I was praying for kijana mpya. Ntakutafuta. Nakaa Mbagala Kuu

    ReplyDelete
  7. Dr Faustine, Karibu utuwakilishe Kigamboni, wewe ni msomi, kijana na unaonekana una busara, kigamboni ina matatizo mengi, barabara, huduma za afya, shule, huduma za benki, na KUBWA ni usumbufu pale ferry, kivuko kipya kikubwa kipo lakini hakitoshelezi kutoa huduma pia watu wanaokiuka utaratibu wa kiungwana wa kutofuata foleni hasa hasa walioko serikali, wastaafu, na wengine wengi! Nakutakia kila kheri upitishwe na chama chako kuingia kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu!

    ReplyDelete
  8. Dr. Faustine, Daraja tu ndo issue ya wanakigamboni, kwa muda wa miaka mitano Kigamboni haijawakilishwa bungeni mbuge aliyepita alikuwa kama bubu ndani ya mjengo. Issue ya Mjimpya bado haijaeleweka na jinsi watu watakavyofidiwa ni pointi za kuomba ridhaa ya wanakigamboni, otherwise kama huna ajenda na haya ni CUF au CHADEMA.

    ReplyDelete
  9. MICHUZI KABLA HUJATAJA HAWA WASHINDI WAKUMBUSHE WATU HIZO NI KURA ZA MAONI. MAJINA YAWASHIRIKI WOTE YANAPELEKWA CCM.WANAPIGA KURA KULA NA KUCHAGUA UPYA .CCM WANAWEZA WAIKUCHAGUE kazi kweli

    ReplyDelete
  10. UNA WASIWASI JINA HALITARUDI KWANI UMETOA RUSHWA AU KUIBA KURA

    ReplyDelete
  11. Majina yote yanapelekwa CCM. Watapiga kura upya

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...