HABARI TOKA JIMBO LA MTERA LINASEMA MGOMBEA LIVINGSTONE LUSINDE AMEMSHINDA MH. JOHN SAMWEL MALECELA KATIKA KURA ZA MAONI NA ANATEGEMEA KUWA NDIYE ATAYEPITISHWA KUGOMBEA UBUNGE KWA TIKETI YA CCM KWA JIMBO HILO, KWA MUJIBU WA MATOKEO YALIYOTANGAZWA SAA 4 LEO
Home
Unlabelled
MZEE MALECELA AKUBALI MATOKEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Uhuni mtupu! Saa nne haijafika? Mzee usinibanie
ReplyDeleteKingwalu
MZEE MALECELA USIJALI MAMA ATAKUWA MJENGONI NEXT TIME HIVYO DODOMA UKATAKWENDA WAKATI WA VIKAO VYA BUNGE KUKAA NA MAMA HOTELINI. LAKINI NDIYO HIVYO MAMA AKIWA MJENGONI WEWE UTAKUWA HOTEL ROOM UNAANGALIA BUNGE KWENYE RUNINGA.
ReplyDeleteDU! DUME LA NG'OMBE LIMEANGUSHWA SAFARI HII TENA NDANI YA CHAMA CHAKE. HII SI MCHEZO
ReplyDeleteHUO NDIYO UNAITWA MSUMARI WA MWISHO.
ReplyDeleteMzee mzima pole sana!! Tutakulinda ndani ya chama kama mwenzio Msekwa, kuwa mpole mama asijepata sababu ya....!!!
ReplyDeletefair play!!
ReplyDeleteYAMEKWISHA
ReplyDeleteWatanzania sasa tunaanza kubadilika. Sasa tunaanza kuelewa kwamba siasa za Tanzania hazina hati miliki. Yeyote mwenye uwezo (wa pesa au sera??!!) anaweza kushiriki. Prof Sarungi, Mailingi, Mungai, Makweta, kwaherini. Tunawatakia ustaafu wenye furaha. Wengine mlioponea chupu chupu akina Wasira, Mongela,Ana Makinda na wengine ambao tumekuwa tukiwasikia toka enzi za mwalimu, kwa mtini jifunzeni. Mnataka mng'atuke kwa kung'atuliwa au ka hiari yenu? Igeni mfano wa Mzindakaya na Paul Kimiti.
ReplyDeleteDAWA YA VIZEE KAMA HIVI NI KUVIUMBUA KWA MATOKEO MATAMU NAMNA HII NA BADO HATA MKEWE KULE SAME ATIE MAJI KICHWANI WEMBE NI ULE ULE,TENA MWAKA HUU CHADEMA FULL KUCHANUA,KWA DALILI HIZI SISHANGAI HATA KIKWETE KUKUBALI MATOKEO YA URAISI HAPO OCTOBER.
ReplyDeleteVIVA VIJANA VIVA CHADEMA
wasipowang'oa vingunge wao tutawangoa sisi!Chadema wakae tayari kwa wazee wasiokubalika waliobaki!
ReplyDeletehuu wakati wa vijana bana!
LIVINGSTONE LUSINDE ni mtoto (au mjukuu) wa Job Lusinde au wana u-ndugu?
ReplyDeleteMzee alisahau kama amekuwa na umri mkubwa,kwani haoni ni aibu kwake kuwa bungeni na watoto wadogo akina January wamemsikia tangu wamezaliwa bungeni hadi leo hii waende wakabishane humohumo bungeni,hii ni fedheha kwa wazee wa umri kama wake kung'ang'ania viti achieni vijana jamani,Mzee umechoka sasa kapumzike.tumia Tv kuona bunge linaendeleaje si lazima uwepo na wewe,Mweee!
ReplyDeleteNi vizuri mzee kakubali kushindwa hiyo bado ni heshima pia. Hongera Mzee Sam kwa utumishi wa muda mrefu na ulitukuka kwa jimbo la mtera
ReplyDeletePole sana babu yangu. Nakujua wewe ni mpiganaji mzuri katika kulitetea taifa hili. Basi baki kuwa mshauri mkuu wa vijana kwenye medani ya siasa. Pole sana lakini nina imani ukomavu ulionao kisiasa hilo sio tatizo sana.
ReplyDeletePole na mapumziko mema kwenye ustaafu. Tuna pamoja na wewe katika kipindi hiki kigumu cha mpito.
Mdau
Usijali mzee tingatinga tumia muda huu kuchonga barabara ya urais 2015. Wewe bado embe changa kabisa!!!!!
ReplyDeleteNadhani tumeona mabadiliko yanakuja na kuchukua kasi yake.Ule usemi wa kilatino "Ubi mayor minor cesat" unatoweka taratibu na hili ni dalili kwamba sio muda mrefu tutakuwa na wakuu wa nchi zetu waafrika kama kina Obama.Wazee wasihofu kujitoa wenyewe katika siasa au madaraka mbalimbali waamini tu wataishi vizuri la msingi ni kutenda yote kwa kujali maslahi ya umma mwishoni basi unaambiwa,' Vema mtumishi mwema namwaminifu...." Lakini ukiongoza kwa maslahi yako utakiona tu.hayeni!
ReplyDeleteIla kweli inauma sana 'my wife' ndani mi 'nje' tunakutakia uvumilivu baba.Taratiiibu utazoea la msingi akitoka mjengoni we mzidishie malovee! hakiharibiki kitu.Tunakupenda sana Concellor wetu OUT, e baba!
ReplyDeleteMalecela wamemuonea tu ....
ReplyDeleteKwani mjengoni watu wanabeba zege?
Ingekua ni busara saana kwa wale waliobaki wakajichukulia nafasi muafaka kwao kuliko kungoja kuabishwa na vijana!! Nafasi zilizopo ni pamoja na MSHAURI WA VIJANA, MJUMBE WA CHAMA, MSHAURI MASWALA YA UCHUMI WA NCHI Pamoja na NAFASI NYINGINE NYINGI!! Hapa Nadhani wangeweza kutunza heshima zao!! Lakini Sasa wabongo tulivyokua ving'ang'a! mh!!!!!!!!
ReplyDelete