
Mtoto wetu, dada yetu, ndugu yetu na rafiki wa wengi, Salome unakumbukwa na wengi kwa mambo mengi sana.
Kipindi ulichoishi duniani kilikuwa kifupi sana (Jan 1978 to Aug 2000) ila maisha uliyoishi na furaha ulizowapa wazazi wako, ndugu zako, jamaa zako na marafiki zako lukuki ndio zinafanya uwepo wako katika maisha yetu kuwepo bado, tena wa nguvu.
Kuongelea sifa zako hapa, muda wala nafasi haitatosha ila kupitia furaha na kumbukumbu nyingi za furaha wakati ulipokua zawadi katika maisha yetu, tunazigeuza katika maombi na kuzidi kumshukuru Mungu kwa hii zawadi katika kipindi chote ulichokua nasi, na sasa upo nasi kiroho, tunamuomba azidi kukupumzisha kwa amani, mahala pema peponi, Amen.
Tutaendelea kukupenda, kukukumbuka na kukuombea.
Bite, Cleo, Austin, David, Toni na Misuka
Harry, Tom na Becky
Nichola, Natasha, Shola, Melody, Trinity Justine na Carren.
Family and lots of friends…
Makaniz, we, Elly, JP, Anna & Judy are with you in our prayers. May God contiue to comfort you in all your ways.... RIP Salome...
ReplyDeleteMungu ailaze roho ya marehemu Salome mahala pema peponi- AMEIN.
ReplyDeleteNakumbuka mwaka juzi mama mzazi wa Marehemu Salome alitoa maelezo ambayo kwayo binafsi nilitokwa na machozi japo sikua namfahamu marehemu Salome.
aaah Jamanii, Salome, 10 Years already! May the good Lord continue to rest you in peace.
ReplyDeleteMungu ailaze peponi roho ya marahemu Salome, Amina!
ReplyDeleteTunakukumbuka sana hasa ulivyokuwa mcheshi pale Forodhani Secondary .
Siwezi kusema mengi salome ulikuwa kipenzi cha wengi na sura yako ya mvuto wa kuvutia pumzika kwa amani mpenzi tulikupenda lakini muumba alikupenda zaidi , i will always miss u dearly greetings from boston
ReplyDeleteshe was a great sister and great friend and person you can count on she fear God and she will always be in everyone's heart...May your soul rest in Peace.
ReplyDeleteQ
RIP Salome!
ReplyDeleteR.I.P Salome! Jina la bwana Lihimidiwe
ReplyDeleteAunt Misuka na Issa plz email me through makiromaro@yahoo.com
mungu amlaze salome mahari pema,salome hatutakusahau,ulikuwa ni queen wa africa,moa wote pamoja ni mimi ubungo fish
ReplyDeleteRIP Salome, sura yako inabeba ujumbe mkubwa sana kuhusu mwanadamu wa leo. Kuwa sisi wanadamu si chochote mbele ya muumba cha muhimu ni kuishi kama utakufa leo na kufanya kazi kwa bidii kama utaishi milele, hii ikimaanisha pamoja na kumcha mwenyezi mungu, kwani wakati ukifika hauna jinsia wala status unaondoka huku wanaokunzuunguka wakiwa bado wanakuhitaji sana kuwa nawe.
ReplyDeleteSura yako na tabasamu lako litamulika milele kwa tuliokuona kwenye picha na waliokufahamu physically.
RIP
We have only your memory, dear Salome. To remember our whole life through. But the sweetness will linger forever - as we treasure the image of you. Rest in Peace baby sister!
ReplyDeleteUnable are the loved to die. For Love is immortality..R.I.P my friend.
ReplyDeleteMubarikiwe sana nyote mlioungana nasi tena mwaka huu. We remembered her in a very special way this year. We visited an orphanage house and we were BLESSED. Imagine those kids did not know Salome but after I made an introduction speech of why we visited them .... they all cry... I also cry hahaha. Austin made a statement that we all cheered back again. Girl you live for ever...Stars do not DIE! Is true.. RIP my Girl!! Bite
ReplyDelete