

Last night Tanzania's National Women's Football team, the Twiga Stars, took on the Northwest National Reds U-18 in a friendly match at the Starfire Sports Complex south of Seattle, Washington, USA. Despite having traveled for almost two full days, spending 28 hours on planes and arriving only the night before, the Twiga Stars beat their American opponents 2-0, with goals by Eto Mlenzi and Esther "Lunyamila" Chabruma.
The Northwest Nationals are one of the top youth soccer clubs in Washington State, and many of their players each season go on to earn soccer scholarships at top universities.
The Twiga Stars are currently on their USA training trip sponsored by Ms. Rahma Al-Kharoosi, president of RBP Oil & Industrial Technology Ltd.
While in the USA, the Twiga Stars will be playing a number of matches, including a special showcase match on August 7 against the Seattle Sounders Women's Team, who play in the USL W-League, the second tier of USA women's soccer.
The aim of the trip is to gain experience before the African Women's Championship to be held in South Africa this October. The Twiga Stars qualified for the continental finals by beating Ethiopia 4-2 on aggregate, then beating Eritrea 11-3 on aggregate.
viwanja kama hivi serekali yetu au wazamini wangeweza kujenga nchini mwetu tungekuwa mbali sana kisoka !1 Ongera twiga starts hila mmecheza na VILAZA so sioni cha kuwapongeza sana!! kama kweli manataka kufika mbali chezeni na team za level yenu !! si mnacheza tu mradi ni wazungu !1
ReplyDeleteWamechaza na Under 18 :)
ReplyDeleteRe: Mdau wa kwanza.Kama viwanja ndivyo vinacheza mpira nitakubaliana na ww.Kwanza wachezaji wetu wengi hawana talent na hawafundishiki.Hata Mwenyezi Mungu akiwa kocha wa Taifa Stars hatutafika mbali na wachezaji tulionao.Wachezaji hawana supu, hawajui kukimbia, hawajui kupasi mipira,waoga kwa kubabaikia majina ya wachezaji fulani mfano walipocheza na brasil na Ivory Coast.Wachezaji wetu hawa self-esteem afu unategemea taifa stars icheze kombe la mataifa ya Afrika au kombe la dunia.Hahahahahahaha.
ReplyDeleteI'm so proud of these Sisters!! Go Twiga we all behind you!!
ReplyDeleteYani timu yetu ya wanawake wanacheza mpira wa kuvutia na wa akili kuliko waliokuwa watoto wa MAXIMO? kweli hii michezaji yetu ya kiume vichwa vyao vigumu au kwamba wanajifanya wajuaji.
ReplyDeletesafi sana twiga stars mpira wenu unavutia,pasi zenu za huakika.
WE FALA HAPO JUU DON'T ASSOCIATE MUNGU NA UPUMBAVU WAKO!! HIVI UNAMJUA MUNGU AU? TUMIA MIFANO MINGINE NA SIO MUNGU AU WE UNAABUDU MITI NINI?? USICHAFUE HALI YA HEWA HUMU.
ReplyDeleteduh Mi nahisi moja kati ya mawili either KOCHA WA TWIGA AWE NDIO WA TAIFA STARS AU TIMU YA TWIGA STARS NDIO ISHIRIKI KAMA TAIFA STARS TUWAKATE MCHICHA TU HAWA WANAWAKE MAANA WANAPIGA PASI UTAFIKIRI SPAIN-TUKIWANYOA MCHICHA HAWA HAWATAJULIKANA WANAWEZA KUTUFIKISHA MBALI.
ReplyDeleteGood job!
ReplyDeleteTangazeni schedule ili tuje kuona game.
(US Blogger)
Wewe unaliyeniita mpumbavu ndo hujui maana ya Mungu.Mungu ni kile kinachoabudiwa. Ng'ombe ni Mungu anaabudiwa India.Panya pia ni Mungu anaabudiwa,Nyoka ni Mungu anaabudiwa.Soma na kuelewa kilichoandikwa kwanza kabla hujaanza kutukana watu.
ReplyDeletebravo twiga! mdau greece
ReplyDeleteMdau wa tatu mada inahusu timu ya taifa ya soka ya wanawake lakini yeye kachomekea mambo ya timu ya wanaume. Wachezaji wanafundishika kama unajua kufundisha. Henry Joseph si yupo Norway anakipiga ligi kuu ya huko. Nizar Khalfan yupo Vancouver ambayo itajiunga na MLS mwakani. Tatizo ni misingi yetu mibovu na tunaona kama vile kucheza mpira ni kukosa la kufanya. Mambo ambayo tulitakiwa kujifunza utotoni tunajifunzia ukubwani.
ReplyDeleteWadau msibeze ushindi dhidi ya hii timu ya chipukizi. Fabregas, Messi, Neymar, Pato walianza kutesa wakiwa na umri gani?
Michuzi zi post picha za kila mmoja wao kama vile zile picha za jela hapa U.S., ili nichague mchumba. Nimechoka vitambi vya wanawake wa kimarekani.
ReplyDeletego girls go!!
ReplyDeletepamoja sana
wewe ulosema umetokanwa na wee pia kasome MAANA YA MUNGU KISWAHILI NI UWEZO WENYE KUWEZWA USIEWEZWA na tena umesema mwenyewe MWENYE ENZI MUNGU kwa hiyo inamaana hata kama kuna mungu mwengine sio mungu kwanza atakua kwa small letter hana msisitizo lakini unaposema MWENYE ENZI MUNGU bsi ndi MUNGU ALIENAUWEZO USIOSHINDIKA,KAFIRI MKUBWA WEWE USICHAFUE WATU HUMU SIO,KWANI kama mungu ni Ngome ndio wako sawa? ku*&\\%&*(***/*/...
ReplyDelete