Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Unajua sio kosa lao maana hata kaka zao hawajui mpira kwahiyo hawana mahali pa kujifunzia ila Big up sanaa

    ReplyDelete
  2. Wadada mpira wanaufahamu nafikiri tatizo bado masaa yanawachanganya. Muda wanaocheza kwa kule nyumbani ni usiku wa saa 3am .Wanacheza wakiwa na usingizi mkali.Pengine wangekaa kwa muda kidogo wangezoea.

    ReplyDelete
  3. wapi brother brother jamani?
    tumekukumbuka sana wana Nyerere FC

    ReplyDelete
  4. Yaani Kila kitu kushindwa tu.Ila ngono za kujificha ni maarufu sana na Mpira wa mdomoni.
    Yaani uwanjani utaona kabisaa Timu za taifa kuwa kuna amabao wameenda kutembea na wachezaji.Timu si mtu mmoja ni wote kufanya kazi.

    ReplyDelete
  5. astagafilulah haha michuzi mtafute Rick auelezee mpira ulikuwaje

    ReplyDelete
  6. Tukiacha maswala ya mfumo dume, hawa kinadada wa Twiga Stars wako more comfortable on the ball kuliko Taifa Stars. Utaona kinachowashinda ni nguvu za mwili na positioning vitu ambavyo vinafundishika. Taifa star inamakosa yasiyofundishika hata kama Mourinho angekuja kuwafunza. Ukimtoa Chuji wa Yanga, wengine wanakimbia kimbia kama kuku aliyekatwa kichwa. Wote akina Ngassa ndio kucheza kwao. Hawa wadada wapo juu mno. Wapewe kocha bora na gym nzuri watafunika big time.

    ReplyDelete
  7. awajuhu hata formation ya kucheza !! wanakimbia kimbia tu kama mizoga !!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...