Home
Unlabelled
wistone na selina wameremeta - baada ya miaka 35 ya kuishi pamoja
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Brother Michuzi naomba iwekwe wazi, hiki kitendo cha kubariki ndoa ni nini?
ReplyDeleteau wanafunga ndoa baada yakuishi bila ndo kwa muda wote bila ya kuwa katika ndoa?
KILA MTU UTASIKIA NABARIKI NDO, JEH! MTUAMBIE NI LINI MLIFUNGA NDOA MPAKA LEO MNAIBARIKI?
Hongereni Maharusi. Bibi harusi bado anadai, utasema ana miaka 35 hivi.
ReplyDeleteMkipenda watoto wenu muwaasili (muwa-naturalise ????) ili kuwafanya wawe watoto halali wa ndoa na kuwatoa uwanaharamu (kumradhi kwa lugha kali). Maana sheria msumeno. Mathalan, ikatokea mkapata watoto wengine kwa sasa (baada ya kufunga ndoa, that is), watakuwa na hadhi na haki zaidi kuliko hao watoto wenu mliowazaa kabla ya kuoana - you know what I mean? Maana kuna leo na kesho.
Maisha mema ya ndoa.
Hii nimeipenda, big up kaka chidumule.
ReplyDeleteMdau wa London.
Hongera wadau kwa kutimiza miaka 35. Ni muda mrefu sana mungu azidi kuwapa nguvu.
ReplyDeleteMdogo wenu nimeoa na ndoa yetu ina miaka 10 lakini nimeichoka kweli kweli.
Natafuta jinsi ya kufyatuka.
thats wonderful, congratulations to both of you
ReplyDeleteHongereni saana.ila sasa ndio mwanzo wa kuachana.maana mmezini miaka yote hiyo hamkuwa na tatizo ila sasa mmeharalisha ndio mtapo achana.
ReplyDeletekuzini raha bwana asikwambie mtu.
Kweli Ndoa ni Upendo Kwanza na siyo Makaratasi yaliyotiwa wino au sherehe kubwa.
ReplyDeleteUpendo Huvumilia Yote shida, raha, huzuni, gubu n.k.
Ndiyo maana hawa wapendanao wameamua kukamilisha Upendo wao kwa shamrashamra ya Makaratasi yaliyotiwa wino, baada ya kutibitisha Upendo wao kwa vitendo miaka 35, nasema miaka 35.
Hongereni sana Wapendwa.
Mdau
YoungBoy.
Hoja ya Haja,
ReplyDeleteNdoa inahalalisha watoto waliozaliwa nje ya ndoa (Children born out of the wedlock)? Does it (Retroactive Marriage) make them (children born out of the wedlock)legitimate children of the marriage?
Najua kuna nchi nyingine watoto waliozaliwa nje ya ndoa wanakuwa legitimate children pindi wazazi wakioana, lakini ndani ya kipindi fulani, say within a year.
Je, Sheria ya nchi inasemaje? TAFAKARI!
Kisha changia hoja.
Hongera kwa Maharusi.
Retrospective sorry, and not Retroactive.
ReplyDeleteDoes Retrospective marriage make natural children born out of the wedlock legitimate? Ndoa inawafanya watoto wa nje ya ndoa wa wazazi wanaooana halali?
Kula tano broda, hongereni sana kwa kuwaonyesha watu ni jinsi gani maisha ya wawili yanatakiwa,sio matarumbetaa meengiii na manjonjo kibao and at the end of the day ndoa inadumu mwaka 1 tuu.
ReplyDeleteHONGERENI SANA BANDUGU...BAELEZEEE NA BAONESHE!!
Cha chandu - uk
Siku ukimfurumusha mama yao utakiona cha moto. Hapa ni kwamba umedihirishia watoto kuwa wewe na mama yao mna upendo kweli sio unafiki. Na ndo maana ulisubiri wazaliwe na wajukuu wakue ili uwaonyeshee kuwa unampenda bibi yao kimaso maso. Malaika azidi kuwalinda katika ndoa yenu ili shetani asipande nafasi.
ReplyDeleteNyumba ujengwa kwa mawe matofali na miti, Bahari ndoa imara ujengwa kwa Upendo na Amani ya kweli.
Mdau USA
Bibi arusi punguza vyakula vyenye mafuta na sukari bado ungali kijana. Mwili wako utapendeza sana. Sio lazima ufanye nazoezi ya kukimbia ama kutendea Maji ya moto kila siku yanayeyusha mafuta. Na usinywe soda. Utakuwa safi kabisa. Labda kama huko na ujauzito hapo sawa. Nimependa sana mipango yenu ya Baada Ya,,,
ReplyDeleteMdau USA
Mmmh, yeah!anyway, better late than never!
ReplyDeleteKuna watu wameng'ang'ania watoto wa nje ya ndoa sasa wanakuwa ndani ya ndoa, c'mon people does it make any difference? Ni mtoto gani atakayezaliwa baada ya hapo ampigie kelele kaka yake aliyemtangulia (kwa wazazi hao hao) eti kazaliwa nje ya ndoa? Are u serious?
ReplyDelete