Home
Unlabelled
dr.shein afutarisha jijini dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
HIZI FUTARI ZA KILA LEO ZA VIONGOZI WA CCM ZINACHUKUWA NAFASI YA POCHI NINI? MICHUZI NAFASI HII SI ANGALAU UNGETUWEKEA HABARI ZA KAMPENI ZA UPINZANI HATA KAMA UNGEWAJUMUISHA WOTE KWA PAMOJA. YAANI KAMPENI ZA FUTARI WEWE UNAZIONA BORA!
ReplyDeleteBaharesa na Geoseph ndio kina nani? Mwandishi kuwa makini na majina ya watu hususan 'wakazi wa Dar es Salaam'.
ReplyDeleteMimi ninampenda sana huyu mzee Said Bakhresa, yeye yupo kimya sana wala humuoni kurumbana kwenye TV, kama hawa matajiri wetu wa epa, kila siku ni kijikweza na kurumbana tu kwenye TV na magazeti, Jamani igeni mfano wa huyu baba
ReplyDeleteHI NA MIMI NI MWANANCHI WA DAR HAPA RANGI TATU, NIKITAKA KWENDA KWENYE HIZI FUTARI NIFWATE UTARATIBU GANI AU NDO HADI NITUMIWE BARUA ya mwaliko?
ReplyDeleteKCC
Kaka tafadhari rekebisha jina la Joseph S Warioba na sio Geoseph
ReplyDeleteTanzania haijawahi kuwa na "Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Geoseph Warioba."
ReplyDeleteTufundisheni kwa umakini zaidi!
Jina lake kamili: Joseph Sinde Warioba.
NI HIVYO HIVYO TU SI MRADI MMEELEWA, MAJINA YA KIZUNGU MAGUMU NDIYO SABABU WALIMU WANAWAFANYIA MITIHANI YA KIINGEREZA WANAFUNZI.
ReplyDeleteNdugu zangu kuna mtoa maoni anasema anampenda Bakhresa kwa sababu hajikwezi kama tajiri ya epa, huyu hawezi kwenda tv kwani anajua watu watamwuliza alivyopata national milling pugu siyo halali kabisa hawa ndiyo waaribifu wakubwa wa uchumi wa nci yetu wala husimpende sana, mkulima wa mahindi ananyonywa wao kwao neeme sana tu.
ReplyDeleteMdau uk