


Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Lakini kwenye sifa lazima tutoe... steven kanumba anaigiza vizuri wengine wangeiga mfano kwake manake saa zingine unasikia wazi kabisa kuwa mtu anasoma lakini steven anaweka "uhai" kwenye sinema zetu
ReplyDeletehivi jamani steven kanumba kaoa??? au bado ni mwindaji tu?? mimi ni daktari ningependa kukutana nae kama ni yu singo
ReplyDeletesteven kanumba naomba sana ufanye mchezo na dachi, kalunde na mlacha majina yao siyajui ila ni waliigiza sinema ya fair decision, kwa kweli wamenifurahisha na mwingine mtu mzima mhaya simjui jina anafanya sauti yake inakuwa mbaya sana kama ana chura kooni ila ni mwigizani fresh sana
ReplyDeleteDah,kijana hongera sana kwa kazi nzuri. Mi mpenzi sana wa filamu (hollywood,bollywood,nollywood etc na pia kwa saaaaaana, The Bongo Movies. Namkubali sana mzee mzima Kanumba, si kwa kuigiza tu, ila pia kubadilisha sekta ya filamu bongo na kuwa kibiashara zaidi. Enterpreneurship!Nimeipenda hii
ReplyDeleteA millionaire in making
Perth,Australia
kanumba bwana, sasa hapo sijui ndo atakuwa anasemaje!?
ReplyDeletelion children, lol.
hee hee.. nikikumbuka nacheka kweli!?
= = =
Buffalo,
New York
mdau wa buffalo we kiboko imebidi nicheke tuu, watu hamsahau ha ha haaa, im closing!!
ReplyDelete