Home
Unlabelled
Mfadhili wa twiga stars afturu pamoja na timu hiyo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
MMH uthamini mwingine Bana tapu tupu! nao omba omba awajuhi kukataa kitu!!
ReplyDeleteKwa wewe unayemponda huyo dada Rahma kwa chuki zako binafsi kwa udhamini wake angalau mwenzio mbali na kuwapa hicho kifaa cha mazoezi, kaipeleka hiyo timu Marekani kwa mechi za majaribio na kufanya mazeozi. Je wewe hater mjivuni umewapelekeani nini? Japo Bigijii tu huna ubavu wa kupeleka!
ReplyDeleteStop hating & grow up!
Jamani naomba kuuliza .. maana nimesikia tetesi ... Eti hii ndo nyumba ndogo ya mkuu wa kaya?
ReplyDeleteHao watoto pesa yao wamelipwa???? .tena nasikia wewe Rahma umewacha solemba watu wa Seattle...
ReplyDeleteSasa hiyo futari yenyewe iko wapi au ndio hiko kikombe kimoja. Huko kufuturu ndio watu huwa wanafuturu uchi hivyo jamani mbona hawa wachezaji hawana aibu? Kucheza mpira sio ndio kugeuka midume bora mama ungepelekea yatima pale Magomeni ungepata thawabu. umaarufu mwingine una tabu
ReplyDeletemfadhili huyu kila akifanya kitu mpaka awekwe kwenye blog kwani nae huyu ni nani?
ReplyDelete