JK akipokelewa kwa shangwe na umati mkubwa wa watu na wapenzi wa CCM wa Bumbuli wilani Lushoto Jumatatu jioni katika uwanja wa mkutano wa Togotwe, Bumbuli.
Mgombea ubunge jimbo la Bumbuli January Makamba
akimwaga sera baada ya kunadiwa na JK kwenye mkutano huo
Vilima vyote kuzunguka uwanja wa Togotwe vilifurika watu
Wana Bumbuli mkutanoni
Wasanii nyota kibao walikuwapo
palikuwa hapatoshi















Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. kama hakuna mpinzani sasa kampeni za nini?

    ReplyDelete
  2. palitosha sana tuu hadi juu ya miti

    ReplyDelete
  3. ccm hureeeeee! wana ccm mpooooo? mwaka huu wapende wasipende ushindi ni wetu!

    ReplyDelete
  4. nimekubali chichiemu chama kubwa. Na huyo dakitari anabatasamu tuu.

    ReplyDelete
  5. Nafsi ziwasute tu kwa ushabiki usiolenga kuisaidia nchi.Tumuogope Mungu.Tuikomboe nchi kutoka kwenye mikono ya mafisadi tarehe 31.10.2010. Tuwapime wagombea kwa uwezo wao sio kwa umati wa watu unaosafirishwa kwa malori na mabasi wilaya moja hadi nyingine.

    ReplyDelete
  6. CCM ipo juu tatizo la vyama vya upinzani ni hasira sera wanamwaga kwa hasira. Hongera CCM. Kampeni ni lazima kwani JK anaomba kura anawapinzani

    ReplyDelete
  7. "Tuwapime wagombea kwa uwezo wao sio kwa umati wa watu unaosafirishwa kwa malori na mabasi wilaya moja hadi nyingine."

    Kwani kwenye mikutano ya vyama vingine wanatembea kwa miguu kufuata kampeni? Si wote wanasafiri hivyo hivyo kutoka eneo moja kwenda lingine?

    Pili ni kweli hata mikutano ya Chadema isipimwe kwa wingi wa watu pale Dr. Slaa anapoenda kwa helikopta maana ikishaondoka helikopta na watu wanasambaa zao weshaona helikopta basi imetosha.

    ReplyDelete
  8. PICHANI NAMUONA MWANAJESHI NYUMA YA KIKWETE, NAOMBA MNIJUZE JAMANI WANAJESHI WANAHUSIKA VIPI KWENYE SHUGHULI ZA VYAMA VYA SIASA? AU NIKUMSAIDIA HUYO MGOMBEA IKITOKEA LABDA ANAANGUKA KUTOKANA NA SABABU ZA KIAFYA

    ReplyDelete
  9. Ehe Bwana eh CCM iko juu. Wewe Anony ulimsikia jana Slaa akiwaambia watu wa Mwanza kuwa ataleta treni itakayoenda kwa masaa matatu kutoka Mwanza hadi Dar ndani ya siku 100. !!Mamaa ama kweli huyu jamaa huo udaktari wake wa sheria za kanisa katoliki anajiona yeye mjanja sana. Kura yangu ni kwa JK na CCM

    ReplyDelete
  10. Huku afadhali watu hawajachoka sana kama shemu zengine za vijijin

    ReplyDelete
  11. huwa siamini uchawi, lakini hawa wananchi lazima watakuwa wamelogwa na ccm.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...