

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Picha ya kwanza namuona Ansger Mushi anamkumbushia Lawrence Mafuru kuhusu beef lao la uongozi walipokuwa chuoni ...wakati huo Ansger Mushi alikuwa mgombea wa uraisi na Lawrence naye alikuwepo kwenye uongozi wa chuo hahahaha !!!! Dunia kweli duara jaribu kutengeneza marafiki wengi kuliko maadui kwani hujui kesho itakuwaje
ReplyDeleteHongereni nyote , Mushi na Mafuru kwani nimesikia Mushi naye ni bosi fulani pale ILO
Ni mimi mwanachuo mwenzenu
Gauss
gauuzz@yahoo.com
Mafuru hizo mvi za kweli au za bandia? kumbe chartered institute of bankers exams zinalipa namna hiyo?
ReplyDelete