

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Inasikitisha sana... kama mashirika binafsi yanafanikiwa kiasi cha kuwa wanaongeza ndege kila kukicha, tatizo ni nini kwa ATC? Sitaki kusema UCHAKACHUAJI........
ReplyDeleteKIOKO, na huku nyanda za juu kusini mwa Tanzania kuna mkoa (jiji) unaitwa MBEYA, tunatumia zaidi ya masaa 12 (kumi na mbili) kwenda Dar kwa barabara, tuokoeni na sisi jamani tunaumia!!!!!!
ReplyDelete