Sauti ya Sauda is now available on i-tunes,
visit www.trinitypromotionstz.blogspot.com
or
the link :http://itunes.apple.com/us/album/sauti-ya-sauda/id388038058
visit www.trinitypromotionstz.blogspot.com
or
the link :http://itunes.apple.com/us/album/sauti-ya-sauda/id388038058
Saida Karoli kiboko yao kwa Sauti na Kuimba yeye na Lady jaydee Nukta kishwa stori.
ReplyDeleteSafi sana dada Sauda, hongera zako. Hivi aityunz siku hizi inakubali tranzsaksheni kutoka bongo au bado ni for US and European market?
ReplyDeleteWu unayeuliza kuwa Itune inapatikana Tanzania siku hizi hivi unadhania hao waimbaji kila siku wakienda huko juu kuperform wanaenda kuuza sura tu?...Huko ndio kuna soko kma huelewi...Wakuiuza show moja ni kama show 3 Tanzania..Wee kaa hapo hapo wenzako wanatangulia global market muhimu siku hizi..Kama akieka huko kwenye Itune akipata watu 10000 wakinunua anashida gani.....
ReplyDeleteMbona wanamusic wengine wa bongo hawaweki nyimbo zao pia kwenye Itune jamani..?????
ReplyDeleteHONGERA SANA SAUDA. I HOPE UTAKUJA AMERICA. MARAFIKI ZANGU AMBAO WAME KUSIKILIZA WAMEIPENDA SANA SAUTI YAKO. MICHUZI ASANTE SANA KWA KUWATANGAZA WAIMBAJI WA TANZANIA.
ReplyDeleteSwali langu linabaki palepale, can I buy from iTunes nikiwa Tanzania au bado inakataa?
ReplyDeletendugu yangu hapo mwanzo,sio saida karoli,ndugu yangu bado wa zamani,karoli yuko bukoba huko leo hii akaingize nyimbo ktk i tunes,kwanza sidhani hata kama inaimba siku hiz.ni jins gani game ya bongo ilivyombaya.kwa kukusaidia huyo anaitwa sauda simba kilumanga alishawahi kuwa mtangazaji.pole sana
ReplyDeleteWhere to buy SAUTI YA SAUDA
ReplyDeleteAll NOVEL IDEA BOOKSTORES in Tanzania:
Dar es Salaam
-Steers on Samora/Ohio
-Slipway
-Shoppers Plaza, Mikocheni
-Seacliff Village
Iringa
-Main street
Arusha
-Shoprite compound
Elsewhere in the world, you can get it online at iTunes and Womad Shop
Other CDs distributed by Trinity Pro-Motions Ltd and available at A Novel Idea shops are:
-Mandugu Digital Volume I
-Amka, by Kama (Kalamashaka)
-Tuimbe Pamoja - Swahili4kids, kiswahili songs for kids
Kwa kuongezea huyo ni binti wa Iddi Simba yule aliyawahi kuwa Waziri wa Kilimo na Chakula, kipindi kile sukari ilipokuwa hadimu. Hivi ni kweli Saida Kaloli yuko Bk? Maana siku hizi hata kwenye 'RTD' hasikiki.
ReplyDeleteNkyabo - Bongo
Sijasema huyo kama ni Saida Karoli nimesema katika sauti za kuimba Saida karoli na Lady jaydee ndio kiboko zao wanawake. pole yako wewe subiri dripu.
ReplyDelete