Lango kuu la kuingia kiwandani hapo
baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya bia Tanzania,TBL wakiongozwa na Mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo wakiangalia mandhali ya kiwanda hicho walipokwenda kukitembelea hivi karibuni
sehemu ya jengo la kiwanda hicho ambacho ni cha kisasa kabisa.
sehemu ya kupakilia bia na kuhifadhia kreti
sehemu ya kuegeshea magari.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Dahhhhh kiwanda kinaonekana morden kweli lazima technology za hali ya juu,hii inatishia usalama wa kazi yangu(testa),naona kutakuwa hakuna section ya kuonja tena,emung tuhurumie wenye skills hii.

    ReplyDelete
  2. Safi sana. Sasa tutakuwa tukizinywa fresh kutoka hapahapa Mbeya. Siyo kusubiri mpaka ziletwe kutoka Dar.

    ReplyDelete
  3. tunajenga taifa la ulanzi tu.

    ReplyDelete
  4. I wish kingekuwa ni kwanda cha teknolojia, say: Kiwanda cha kutengeza 'electronic chips' kwa ajili ku-feed viwanda vinavyotengeneza vifaa vinavyotumia teknolojia ya electronic ..... wishful thinking...

    ReplyDelete
  5. wewe unaye-wish ungekuwa na kiwanda cha technology si ukianzishe basi!

    ReplyDelete
  6. We mwalafyale mwe! Nitaacha kwenda kwa mama John kule Mwanjelwa kunya kimpumu. Sasa beer fresh hapa hapa kwenye back yard yetu jijini MB.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...