Home
Unlabelled
vodacom foundation yawasaidia watoto yatima zanzibar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
ni kidato cha tatu, au darasa la tatu?.
ReplyDeletekidato cha tatu at 10 years?
ReplyDeleteits dat necessary?givin sadaqa and show off how much you spend?wrong absolutely wrong.
ReplyDeleteKwanza : nadhani ulimaanisha kusema darasa la tatu na sio kidato cha tatu sababu binti anaonekana ana miaka kato ya 9-11.
ReplyDeletePili : kwa muislamu unapotoa sadaka hairuhusiwi kutangaza umetoa kiasi gani na ndio maana msikitini ikipita kofia au sanduku au kikapu cha sadaka sunnah ya mtume Mohamad (S.A.W) inasema jaribu kukizuia kile ulichonacho kiasi kwamba mkono wako wa kushoto usifahamu wa kulia umefanya nini, maana yake ifanye iwe siri yako na Mungu wako kwani Mwenyezi Mungu hakupi kwa wingi wa unachokitoa na badala yake anakupa kwa ile nia yako na uwezo wako.
Eid Mubarak.
Wabillahi Tawfiq.