Tupate Burudani kamili kutoka kwao "The Ngoma Africa Band" aka FFU,
wakati tunahesabu masaa kuelekea katika siku ya 31-Oktoba-2010
Siku ambayo watanzania tutapiga kura!

Patapata muziki huu mtamu na ujumbe maalumu kwa watanzania wote kutoka kwa "Ngoma Africa band" yenye maskani
yao nchini Ujerumani

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. ffu aka watoto mbwa,aka ngoma afrika,kazi yenu inakubalika duniani kote mziki na ujumbe wenu umeenda shule,JK hana mpinzani

    ReplyDelete
  2. wakuu wa kupiga kwata...nyinyi ndio mlianza na gubu na sasa mnamalizia na gwaride ktk kuelekea ktk uchaguzi..mwaka huu umetufungua macho wengi

    ReplyDelete
  3. hi!!!!!!!wazee wa kutuliza ghasia ffu huu mziki wenu umetulia tena wa kiutu uzima,na ujumbe wenu umesikika nani?kama JK !hakuna,tena mziki wenu unanikuna sana sana.
    mzee wa Ilala

    ReplyDelete
  4. mlifungua dimba na sasa mnafunga kazi,ffu zogo mnalimudu

    ReplyDelete
  5. inamaana kamanda ras makunja bado umekomaa kichwa tu?ujakoma bado na tabia yako ya kuwanyima raha baadhi ya watu?

    ReplyDelete
  6. FFU TUPO PAMOJA NANYI JK OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!! JK2010 MZIKI MKUBWA

    ReplyDelete
  7. ffu wazee wa kukaanga mbuyu iki kitu kimetulia kisawa sawa

    ReplyDelete
  8. ffu najua amnyamazi mpaka kieleweke hapa...

    ReplyDelete
  9. leo ugeni huu wa ffu!walinzi wasio na nidhamu...najua watabwaka mpaka kijulikane haya tuachie wenyewe wenye gwaride lao

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...