


kwa picha zaidi
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hongera, sana Mista Prezida!
ReplyDeleteHONGERA RAISI KIKWETE KWA BIRTHDAY YAKO. JAMANI RAISI KIKWETE NA MKE WAKE WAMEPENDEZA SANA. WEWE RAISI NA MKE WAKO MNAPENDA SANA WATOTO NA HILO NI JAMBO ZURI SANA. KUNA WATOTO KWA BAHATI MBAYA WAMEPATA MIMBA NAJUA NI VIZURI WATOTO WAFUNDISHWE HAYO YASIWATOKEE LAKINI KWAKWELI SI VIZURI KUWAZUIA WASIFANYE MITIHANI. SISI WOTE TUNAJUA KUWAZUIA WASIENDELEE NA MASOMO NI KUWARUDISHA NYUMA KIMAENDELEO NA KUWAFANYA WAZIDI KUWA MASIKINI PAMOJA NA FAMILIA ZAO ZA BAADAE. HILI JAMBO NI LAZIMA SERIKALI LILI SHUHULIKIE. RAISI WETU KIKWETE NINAJUA UNAPENDA MAENDELEO NA UNAFANYA BIDII KUONDOA UMASIKINI AND NOT TO FORGET UNAPENDA WATOTO, PLEASE DO SOMETHING TO HELP THESE KIDS.
ReplyDeleteDaaah!.. Mr. Raisi ameachama!..
ReplyDeleteHongera president but I didn't like the cake
ReplyDeleteHongera!..(Plastic smile on me).....ndo kilichobaki ati!
ReplyDeleteHongera Ndugu JK. Tunamwomba Mwenyezi Mungu awalinde wewe na wanafamilia wako wote na awape kila la heri.
ReplyDeleteama kweli tanzania tambarare!!!!
ReplyDeleteBradha,
ReplyDeleteMbona sijamuona REGINAD MENGI kwenye hiyo hafla?
Kila la heri MH JK.
ReplyDeleteHappy birthday to you Mr President and we wish you all the best. Ole Koila and family.
ReplyDeleteHongera Mr President kwa Birthday yako.Una miaka 60 unaitwa Rais kijana!!!! je na mimi mwenye miaka 40 nitaitwa mtot? wabongo acheni uzushi ndiyo maana bado tuko nyuma.
ReplyDeleteama kweli ukipenda,chongo huita kengeza!!
NATOA PONGEZI ZA DHATI KWA MH RAISI, WEWE ANON WA HAPO JUU,KWANI UKIKUBALI KWAMBA ANONEKANA KIJANA HASA UKIZINGATIA UGUMU WA KAZI YAKE NA MASTRESS YANAYOAMBATANA NAYO,HAINA MAANA ANAONEKANA MTOTO (KUONEKANA KIJANA MAANA YAKE KUONEKANA YOUNGER THAN HIS AGE 60) BADO ANA NGUVU KIAKILI NA KIMWILI ILI KUENDELEA KUMUDU YANAYOMKABILI, IKIWA JK NI SIXTY, HAONEKANI KAMA AMEMTANGULIA OBAMA KWA ALMOST 12 YRS.... HONGERA MH JK NA KEEP IT UP, MAMA SALMA UPO JUU
ReplyDeleteMDAU NUTRO , KANADA
MTU WA WATU USIYE NA MAKUU. MUNGU AKUBARIKI MR PUREZIDENTI.
ReplyDeleteJamani , hongera sana Raisi wetu!! kwa kweli unaonekana kijana ukilinganisha na umri wako!!!!!!!!!
ReplyDeleteJamani kula vizuri, fanya mazoezi na upumzike ndio unakuwa kijana kama baba yetu JK.Hongera mama first lady mwaya kwa kumtunza mumeo, ndio mwanamke mwema huyo hutunza familia yake kuwa yenye afya njema!!!!!! tukutane Octoba 31, pamoja tunaweza!!
Msemakweli
Kazi na dawa jamani! Si kazi tuuu kazi tuuu! but ndugu wangeizunguka keki!!! au mliila hiyo keki watatu tu? MMEPENDEZA!! UONGO SI KAZI!!
ReplyDeleteMama Salma anajua kuvaa. She real look beautiful. But I am sorry, this time I am going to be First Lady. Of course with Dr. Slaa!!!
ReplyDelete