KEKI ZOTE HIZO NI KWA AJILI YA KUMPONGEZA NA KUMTAKIA KHERI NA BARAKA MZEE MWL. MUGOA
WAKATI WA MISA TAKATIFU NYUMBANI KWA MZEE MWL. LAUREAN MUGOA
BABA ASKOFU NESTORY TIIMANYWA AKIMLISHA KEKI MWL. LAUREAN MUGOA
ASKOFU ALMACHIUS RWEYONGEZA AKITANGAZA BARAKA ZA MWL. LAUREAN MUGOA KUTOKA KWA BABA MTAKATIFU PAPA BENEDICT (XVI)
MZEE MWL. MUGOA AKIWA NA MAPADRE KUMI NA TANO PAMOJA NA MAASKOFU WATATU WALIOENDESHA IBADA TAKATIFU NYUMBANI KWAKE KATOMA, BUKOBA


TAREHE 29.09.2010 NYUMBANI KWA MZEE MWALIMU MUGOA KULIKUWA NA SHANGWE KUBWA. MAASKOFU WATATU (3) WA JIMBO LA BUKOBA NA MAPADRE KUMI NA TANO 15 (JUMLA 18) WALIENDESHA IBADA TAKATIFU NYUMBANI KWA MZEE MUGOA. WALIMTAKIA KHERI, NA KUMMIMINIA BARAKA TELE PAMOJA NA ZA KUTOKA KWA BABA MTAKATIFU PAPA BENEDICT WA XVI. WALIMSIFU NA KUMSHUKURU KAMA MWALIMU, MZAZI , MWANAJAMII, NA MUUMINI WA MFANO. JUBILLEI ZOTE TATU( MIAKA 85 YA KUZALIWA, MIAKA 75 YA KUBATIZWA NA MIAKA 28 YA KUSTAAFU UALIMU) ZILIFANA SANA.

Pia ule wimbo wa jubilee na historia uliopo kwenye AUDIO CD kwa wanaopenda kuusikiliza au kudownload watumie address hii http://rapidshare.com/files/420916697/MUGO_JUBILEE_NA_HISTORIA.wma





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Deogratias mugoaOctober 29, 2010

    TUNAWASHUKURU WOTE WALIOSHIRIKI NASI KWA NJIA MOJA AU NYINGINE, KUWEZA KUFANIKISHA SHEREBE ZA JUBILEE YA MIAKA 85 YA KUZALIWA, JUBILEE YA MIAKA 75 YA UBATIZO NA JUBILEE YA MIAKA 28 YA KUSTAAFU UALIMU. KUJITOA KWENU NI ALAMA YA UPENDO.MUNGU AWABARIKI.
    Deogratias Mugoa
    Kwa Niaba Ya Familia ya Mzee Mwl Laurian Mugoa

    ReplyDelete
  2. jamani ta Mugoa hongera sana kwa jubilee yako baba Mungu azidi kukubariki wewe na watoto wako.tunakutegemea irogelo kwa busara zako

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...