Habari mdau,
Naomba upost hii katika blog yako

Mjue Mgombea Ubunge Kinondoni kwa tiketi ya CHADEMA Bw Phillip Nyanchini MOGENDI

Tembelea tovuti yake hapa

http://phillipmogendi.com/

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Swali: Je Phillip unajua matatizo ya Jimbo la Kinondoni? Utatusaidiaje kuyatatua? Nauliza hivyo kwani sijaona yeyote ambaye ameweza kuyatatua. Mimi nakaa Masaki.Tuwasiliane kupitia: elirehemaemtz@yahoo.co.uk

    ReplyDelete
  2. Phillip ndugu yangu, mi napenda saana watu wanaojitosa upinzani ili kuchallenge the failed status quo..

    Na una credentials za kutosha. Nimesoma profile yako inatia nguvu, ila kusema ukweli ingilishi uliyoandika kwenye profile yako haina standard ya PhD hata kidogo.

    Naelewa kingereza ni kigeni kwetu, ila kwa kurahisisha ungemtafuta hata mtu akakuandikia.

    Unajua communication ina-reflect what kind of a person you are..

    ReplyDelete
  3. Phillip ndugu yangu, mi napenda saana watu wanaojitosa upinzani ili kuchallenge the failed status quo..

    Na una credentials za kutosha. Nimesoma profile yako inatia nguvu, ila kusema ukweli ingilishi uliyoandika kwenye profile yako haina standard ya PhD hata kidogo.

    Naelewa kingereza ni kigeni kwetu, ila kwa kurahisisha ungemtafuta hata mtu akakuandikia.

    Unajua communication ina-reflect what kind of a person you are..

    ReplyDelete
  4. Muraaaa,

    Tumia Kiswahili!! Mimi sijaelewa unavyo ema katika web yako. Naona namba za benki tu

    Observer

    ReplyDelete
  5. Hizi PhD nyingine zinahitaji review...
    Huyu mbunge mtarajiwa kwakweli yai limegoma.

    Sio tatizo ukitumia kiswahili, au tatuta mtu akuandikie..

    ReplyDelete
  6. Kingereza kibovu, mgombea mbovu na hata kura zitakuwa mbovu. Pole sana Mr. Philip
    Mdau,
    Kinondoni B

    ReplyDelete
  7. wewe kiswahili chako ni matatizo. Leo unataka kugombea kinondoni?? Kajifuze lugha yako vizuri kwanza uweze kukaa na wazee wakizaramo kwenye baraza...

    ReplyDelete
  8. huyu anacheza tu hapo anapogombea hapati kitu...mimi nakaaa hapo mbona hatumuoni mtaaani kuja kuongea na sisi wananchi...mimi naona ni bora arudi huko marekani akapige boxi lake mambo ya bongo si rahisi kama anavyoona

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...