huyu ndiye bibie Faida anayewezesha mambo hayo yote hapo juu na mengine kibao. Anakuambia ukitaka jambo lako linoge namna hii mtafute chap chap mpatane aje na rangi gani. Bei unataja wewe.... upo hapo?
kwa mawasiliano zaidi:
FANINA INVESTMENT & CATERING SERVICES
PHONE: +255 784 222 426, +255 715 222 426


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. CCM OYEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  2. Kama Halowini vile

    ReplyDelete
  3. huo ushabiki muuelekeze kwa viongozi wa ccmkutimiza ahadi na kuleta maendeleo la sivyo mtakuwa mnashabikia kuburuzwa kwani hao viongozi wanamaisha mazuri sana lakini mtanzania wa kawaida anahahah
    tafadhali kuwepo na wimbi la kuleta mageuzi ndani ya ccm mageuzi ya kimaendeleo kila nyanja ili kuwepo na maendeleo kuna uzembe mwingi sana bado unaikabili nchi tafadhali kikwete miaka mitano ijayo iwe ya mageuzi makubwa kiutendaji na uwajibikaji.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...