UMOJA WA WANAFUNZI WA KITANZANIA
HYDERABAD-INDIA (TSAH)
Tunapenda kuwataarifu wanafunzi wote wa Kitanzania, wanaosoma katika vyuo vikuu na taasisi mbalimbali za kitaaluma hapa Hyderabad India, kuwa kutakuwa na uchaguzi mkuu wa viongozi wa Umoja kwa mujibu wa katiba yetu.
Wale wote wenye sifa za kuongoza jumuiya yetu, mnakaribishwa kuchukua fomu kwa wajumbe wa tume waliotajwa hapo chini.
Ratiba kamili ya zoezi zima ni kama ifuatavyo.
1. Kuchukua fomu na kuzijaza 5/09/2010 mwisho wa kurudisha ni 24/10/2010
2. Kukutana na Kamati ya uchaguzi ili kukubaliana kanuni za uchaguzi 24/10/2010
3. Kampeni na maandalizi tarehe 25/10/2010 hadi 31/10/2010
4. Tarehe ya uchaguzi ni 31/10/2010 eneo la Sainikpuri-Ukumbi mtajulishwa baadaye.
Wajumbe
Tabagi A: wenyekiti +918897943864 Tolichowki
Majinge, D, Mjumbe +919966954555 Sainikpuri
Simbo, Mjumbe +919948460883 Sainikpuri
Lipina, Mjumbe +919885186905 Singapore city
Kulwa, K. Mjumbe +919618477357 Alwal
Makwinya, J: Katibu +919618477428 Tolichowki
Imetolewa na Tabagi, Abel
Mwenyekiti wa kamati maalum ya uchaguzi
HYDERABAD-INDIA (TSAH)
Tunapenda kuwataarifu wanafunzi wote wa Kitanzania, wanaosoma katika vyuo vikuu na taasisi mbalimbali za kitaaluma hapa Hyderabad India, kuwa kutakuwa na uchaguzi mkuu wa viongozi wa Umoja kwa mujibu wa katiba yetu.
Wale wote wenye sifa za kuongoza jumuiya yetu, mnakaribishwa kuchukua fomu kwa wajumbe wa tume waliotajwa hapo chini.
Ratiba kamili ya zoezi zima ni kama ifuatavyo.
1. Kuchukua fomu na kuzijaza 5/09/2010 mwisho wa kurudisha ni 24/10/2010
2. Kukutana na Kamati ya uchaguzi ili kukubaliana kanuni za uchaguzi 24/10/2010
3. Kampeni na maandalizi tarehe 25/10/2010 hadi 31/10/2010
4. Tarehe ya uchaguzi ni 31/10/2010 eneo la Sainikpuri-Ukumbi mtajulishwa baadaye.
Wajumbe
Tabagi A: wenyekiti +918897943864 Tolichowki
Majinge, D, Mjumbe +919966954555 Sainikpuri
Simbo, Mjumbe +919948460883 Sainikpuri
Lipina, Mjumbe +919885186905 Singapore city
Kulwa, K. Mjumbe +919618477357 Alwal
Makwinya, J: Katibu +919618477428 Tolichowki
Imetolewa na Tabagi, Abel
Mwenyekiti wa kamati maalum ya uchaguzi
kura yngu itaenda kwa yle atakaetetea maslahi ya w'funzi wa nizam college tunaoteseka na telangana maana viongozi mnakaa kimya tu
ReplyDeleteSasa huu hujumbe una wahusu nini wengine . kwani ungewatumia kwenye simu zao si ingetosha . vitu vingine bana. dah
ReplyDeletewewe mtowa maoni wa pili na wewe imekuhusu nini kwali hii blog yako? kama hupendi awekayo michuzi nawe fanya blog yako halafu uweke utakacho, hujalazimishwa kufungua blog hii kabisa!
ReplyDelete