Home
Unlabelled
bondia wa iringa amtwanga bondia wa kenya leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Michuzi namna gani sasa? bondia wa iringa amshinda bondia wa kenya? kwani iringa ni nchi gani? kuwa muangalifu bwana unavunja hadhi ya uandishi wa habari.
ReplyDeletehivi kweli huyo bondia wa kenya alifaa kwa pambano hilo! mbona naona kama hana lishe ya kutosha! au macho yangu!!
ReplyDeleteYANI NYIE MAPROTA MTAUWA SIKU MMOJA KWA KUKURUPUKA ILI MRADI MPATE GAT COLLECTION YENU YANI HUYU ODHIAMBO CHANG'AA UBONDIA KANZA LINI,PAMBANO HILI LA UZITO GANI NA MKANDA GANI.
ReplyDeleteHahaha kweli Iringa nchi au Mkoa? Bondia wa Tanzania kutoka Mkoa wa Iringa amtwanga Bondia wa Kenya. Huyo mbona Kama Kibabu yani Mzee huyo wa Kenya au ndio anatafuta pesa kwa nguvu?. Hongera Bondia wetu wa Tanzania. MZ
ReplyDeleteHebu angalia hapo juu jinsi alvyokaa,yaani mbendembende,ana shepu ya mgema, si bondia.
ReplyDeletemtakuja kuua watu buree. Huyu Bondia wa Kenya mzee na afya yake ina mgogoro yaani hafai kupigana.
ReplyDeleteDuh! yaani nimetoka kubeba box niko hoi na stress kibao za utility bills halafu nikaiingia blogu ya ankal na kumkuta bondia wa kenya alivyokaa nimecheka yaani now stress level very low. yaani we acha tu.
ReplyDeleteChpack oyee!!!!! Lakini Francis na Ankal msingelitoa hiyo picha ya nne kwa kuwa nahisi itawadhalilisha watoto [na wajukuu?] wa mzee Odhiambo. I hope Mzee Odhiambo atapewa hela za kutosha ili asiendelee kunyanyaswa na maboxer vijana.
ReplyDeleteJamani hao waandaaji watakuja kuua! Ankal eh, chondechonde waambie hao jamaa kuwa huyo Odhiambo alishawahi kupigana ndondi kweli jamani. Bondia gani unapigwa halafu unatoka machozi? Mi naungana na mdau hapo juu kuwa huyo Odhiambo anaonekana kama mgema vile. Samahani kama nitakuwa nimekosea ankle lakini hili suala ni serious. Na huyu jamaa wa Iringa asiwe na kichwa kikubwa kwani hakupigana na bondia bali mgema wa Lamu anayejiita Odhiambo.
ReplyDeleteNawakilisha
Huyu Odhiambo utafikiri kibaka aliyepokea kichapo kutoka kwa wananchi wenye hasira na kuponea chuchupu kuchomwa moto, na sasa anavuta pumzi baada ya kuokolewa na wajomba....hahahaaaa!
ReplyDeleteNi wazi kuwa mtoa habari hajui anachofanya. Kwanza kama ni mchezo wa ndondi ni lazima kuelimisha watu ni uzito gani. Je ilikuwa mashindano ya kimataifa au kwa kuwa mmoja wa "mwanandondi" anatoka Kenya basi unakuwa mpambano wa kimataifa? Habari zinafaa kuhakikiwa vinginevyo ni upotofu wa uma.
ReplyDeleteDUH !! MBONA HAWA MABONDIA WAMECHOKA HIVYO????
ReplyDeleteMDAU PARIS
Na uhakika Odhiambo ni agemate wa Mwai Kibaki, Njja mbaya mweee, lilifanyika ukumbi gani hilo pambano na alipigwa raundi ya ngapi?
ReplyDelete