Home
Unlabelled
haijapata kutokea! zenji mambo mswano kabisa. Dk. Shein kuapishwa kesho Amaan Stadium
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hii ndio Zanzibar tunayoitaka,Speech zilikua ni za kusisimua sana,Na wakati huu tumepata viongozi kutoka Pemba ni uwiano mzuri nahistoria ya kusisimua kabisa ambayo si rahisi kufutika kwa sasa.
ReplyDeleteHata hivyo Maalim Seif ni Baba wa Taifa la Zanzibar,Misuko suko aliyoipata katika historia yake na hapa alipofika anastahili zaidi ya urais.Mungu ibariki ZANZIBAR TANZANIA NA AFRIKA KWA UJUMLA.
Hali hii ya maelewano inapendeza sana na kutia moyo. Panapo maelewano na maridhiano huwepo pia baraka na maendeleo kwa sababu hakuna chuki na wote lenu moja. Kwa Zanzibar huo ni mfano wa kuigwa na ni jukumu letu sote tuilinde na kuiendeleza hali hii ya maelewano kwa maslahi ya Zanzibar na wananchi wake na pia kwa maslahi ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania.
ReplyDeleteMUNGU IBARIKI ZANZIBAR,TANZANIA NA AFRIKA.UPENDO NA AMANI MLIYOIONYESHA WAZANZIBAR UDUMU MILELE DAIMA.ONGERA DR.SHEIN KWA KUCHAGULIWA KUWA RAIS WA ZANZIBAR,ONGERA MAALIMU SEIF KWA KUTUONYESHA UPENDO NA AMANI.M/MUNGU AWABALIKI KATKA KUIONGOZA ZANZIMA.AMANI NA UPENDO VIDUMU DAIMA MILELE.ALL THE BEST
ReplyDeletenaHISI KULIA KWA furaha iliyojaa tele moyoni mwangu....hongera seif..wewe ni shujaa anastahili kuigwa ...amenusuru damu za wazaznibari wengi sana kumwagika... Mungu ibariki Zanzibar Mungu ibariki TAnganyika
ReplyDeletesasa wazanzibar wameamua kuungana na kuwa kitu kimoja, sasa waachieni wazanzibar na zanzibar yao na nyinyi wa tanganyika angalieni tanganyika yenu waacheni na wenzenu wajiongoze kimataifa na walete maendeleo kwenye nchi yao ya zanzibar
ReplyDeletemungu ibariki zanzibar na wabariki watu wake....mungu ibariki tanganyika na watu wake dumisha umoja na amani.
Nchi sasa itakuwa kwani ukiziangalia nyuso zao tu utapata jibu kuwa hawa wote wawli wanaubinaadamu
ReplyDeletena iwe isiwe mpemba hatomtupa mpemba mwenzake,zimwi likujualo halikuli likakwisha........, maendeleo yatakuja sasa zanzibar na watu watafaidika na uongozi huu mzuri sana