Watanzania popote pale mlipo tunaombwa tujitokeze kwa wingi,tumpigie kura nyingi mshiriki wetu wa shindano la Tusker Project Fame 4, Aneth sitoke kwenye jumba hilo wiki hii,mpigie kura na ashinde kwa kuandika namba yake - yaani: Tusker 11 kwenda namba 15522.
Piga kura mara nyingi uwezavyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Kwa nini? Tumpe kura kwa sababu anastahiki upewa kura au ni kwa kuwa ni mtanzania?

    Whats the point? kumpa kura ilhali hastahiki? hili suali sio la urai bwana!!!!

    ReplyDelete
  2. Hamuoni kama suali zima la tangazo hili na kampeni yake ni udanganyifu (cheating). Mnataka watanzania wote hata wasiojua kinachoendelea wampigie kura huyu dada tena mara nyingi. Kwa kufanya hivyo je mnamdangaya nani? wewe wenyewe, yeye au nani? Kinachotakiwa ni kupewa kura kwa kuwa anastahili na anafurahisha watu. Sio tu kwa kuwa ni mtanzania!!!!

    ReplyDelete
  3. Tuondoleeni mambo ya upuuzi hapa.

    Sipigi kura wala nini...!!!

    ReplyDelete
  4. Kwani ni kitu gani hiki tunachoambiwa tupige kura? Kwa nini?

    ReplyDelete
  5. Tangu wamemtoa Mtanzania Leah Mudy hii Tusker Project Fame ya mwaka huu haina kitu.

    JInamizi la fitina yao bado linawasumbua chehttp://dailystandard.iblog.co.za/?p=582ki hapa

    ReplyDelete
  6. nahisi kuna njama za kumwangusha maana nimepiga kura kama ilivyoelezwa lakini nimeletewa sms kuwa code niliyoitumia si sahihi!!

    ReplyDelete
  7. Acheni wivu watanzania na udini

    ReplyDelete
  8. mtowa maoni wa Sat Nov 13, 04:19:00 PM grow up. Ni nani alochangia hapa anaeonyesha kuwa na wivu au kutumia udini?

    Una matatizo ya wasi wasi mwezetu, nenda ukamuone daktari haraka!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...