





Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mie nawapongeza sana CUF na CCM sababu wamejali wananchi wao katika kukubali Serikali si Chama tena jamani lazima tumkubali Raisi wetu.
ReplyDeletejamani! te! te! kumbe mtu akiwa na mvi harafu akivaa suti anapendeza kweli utu uzima dawa,waheshimiwa wamependeza
ReplyDelete"Mbaazi ukikosa maua husingizia jua",pole Dk S raha.
ReplyDeleteZaununu-Amsterdam
HA ha ha, nimeipenda hiyo ya Mbaazi ...Hongera CUF hongera CCm... Silaha umesusa wenzio wala!!!
ReplyDelete