KOMBOLELA SHOW JUMAMOSI HII
Novemba 20, 2010
@ 01:00pm - 02:00pm EST,
3:00pm -10:00pm East African Time
Dunia yetu inazidi kuwa ndogo kutokana na maendeleo ya kisayansi, hasa katika teknolojia ya habari. Zaidi ya hayo, Tanzania imefungua mipaka yake kwa makampuni ya nje kuja kuwekeza nchini, kitu ambacho kinapelekea kuwepo kwa ushindani mkubwa wa kibiashara na ukuwaji wa ubora wa bidhaa na huduma zinatolewa kwa mteja wa kitanzania. Lakini mbali na maendeleo hayo, bado kuna malalamiko ya vijana wengi wa kitanzania kukosa ajira. Ni dhahiri kwamba mojawapo ya vijana kujikwamua ni kujitosa kwenye ujasiriamali.
Radio Mbao kupitia Kombolela Show itakuwa na mahojiano na Mbwana Alliy ambaye atachangia uzoefu wake katika mambo ya ujasiriamali, hasa katika eneo la teknolojia ya habari (information technology).
Mbwana Alliy mtanzania ambaye kwa sasa hivi makazi yake ni Marekani, ambako anajihusisha na mambo ya teknolojia ya habari katika jimbo la California (eneo maarufu la Silicon Valley). Zaidi, Mbwana ni vmmiliki wa www.yellowmasai.com, tovuti inayojihusisha na masuala ya uwakala wa usafiri na utalii.
Jiunge nasi kwa kupitia hapa:
Dunia yetu inazidi kuwa ndogo kutokana na maendeleo ya kisayansi, hasa katika teknolojia ya habari. Zaidi ya hayo, Tanzania imefungua mipaka yake kwa makampuni ya nje kuja kuwekeza nchini, kitu ambacho kinapelekea kuwepo kwa ushindani mkubwa wa kibiashara na ukuwaji wa ubora wa bidhaa na huduma zinatolewa kwa mteja wa kitanzania. Lakini mbali na maendeleo hayo, bado kuna malalamiko ya vijana wengi wa kitanzania kukosa ajira. Ni dhahiri kwamba mojawapo ya vijana kujikwamua ni kujitosa kwenye ujasiriamali.
Radio Mbao kupitia Kombolela Show itakuwa na mahojiano na Mbwana Alliy ambaye atachangia uzoefu wake katika mambo ya ujasiriamali, hasa katika eneo la teknolojia ya habari (information technology).
Mbwana Alliy mtanzania ambaye kwa sasa hivi makazi yake ni Marekani, ambako anajihusisha na mambo ya teknolojia ya habari katika jimbo la California (eneo maarufu la Silicon Valley). Zaidi, Mbwana ni vmmiliki wa www.yellowmasai.com, tovuti inayojihusisha na masuala ya uwakala wa usafiri na utalii.
Jiunge nasi kwa kupitia hapa:
ili usikose uhondo!
--
Metty
Your Host
--
Metty
Your Host


duh interestn'...
ReplyDeleteKombolela sio,ngoja tumtafute atakayesafa. kuku na bata walifanya harusi chumbani/ikisanso.Huu mchezo ulitufundisha mambo mengi pia kuharibu mabinti za watu.Watu tulikuwa tunajificha midizini(migombani) vichochoroni afu moto kibati kama unavyojua.Uswahilini poa sana kuliko getini.Watoto wa getini hawaujui mchezo na faida zake.LOL.
ReplyDelete