Maofisa wa ubalozi wakiwa kwenye mnuso wa kusherehekea ufunguzi wa ofisi hizo za ubalozi mdogo wa heshima (honorary Consul) mjini Manzini leo.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Swaziland Mh. Lutfo Dlamini akisaini katika kitabu cha wageni akiangaliwa na Balozi wetu Msumbiji Mh. P. Ngaiza (shoto) na Afisa ubalozi Bw. Ndallahwa wakati wa ufunguzi wa ofisi ya ubalozi mdogo wa heshima (Honorary Consul) mjini Manzini leo.

Waziri wa mambo ya nje wa Swaziland akisoma hotuba yake kwenye mnuso mdogo wa kusherehekea ufunguzi wa ubalozi huo mdogo wa heshima mjini Manzini leo

Mwambata wa Jeshi Kanali Lwimbo na mai waifu wake walikuwepo

Maofisa wa ubalozi wakipozi kwenye hafla hiyo







Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...