Waziri wa Mambo ya Nje wa Swaziland Mh. Lutfo Dlamini akisaini katika kitabu cha wageni akiangaliwa na Balozi wetu Msumbiji Mh. P. Ngaiza (shoto) na Afisa ubalozi Bw. Ndallahwa wakati wa ufunguzi wa ofisi ya ubalozi mdogo wa heshima (Honorary Consul) mjini Manzini leo.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Swaziland Mh. Lutfo Dlamini akisaini katika kitabu cha wageni akiangaliwa na Balozi wetu Msumbiji Mh. P. Ngaiza (shoto) na Afisa ubalozi Bw. Ndallahwa wakati wa ufunguzi wa ofisi ya ubalozi mdogo wa heshima (Honorary Consul) mjini Manzini leo.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...